GADNER IS ONE TRUE HERO! Sio wanaume wote wenye ujasiri wa kulikabili Comandoo Ndii ndiii

Mamaaaa ndii ndii saiz yupo na Ras wake, sijui naye anamkojoza kama kaputeini.

Kaputeini naye alikuwa kama binti tu kwa mamaa ndii ndii
 
LADY JAY DEE STILL LOVES GARDINA HABASH NA HAWEZI PATA BWANA MWINGINE COZ KESHAKUWA CHIZI WA MAPENZI

unauhakika?, watu tunaitamani hiyo nafasi na sisi tukamkojoze ndi ndi ndi .............
 
Kiukweli I support the gentleman.....he showed yeye sio mvulana.....kudooos Captain
 
Huyu jamaa naye alikuwa hajielewi hata mmtetee vipi, inafika point mke uliyemuoa anakwambia chagua kati ya kazi na mke?? Inaamaana yeye haoni faida ya wewe kufanya kazi kwa ajili ya familia au anakuona wewe ni boya tu huwezi kujiamulia mstakabari wa maisha yako.

Swala la comandoo na captain liwe, funzo kwa mariooo wote hapa nchini. Mke akikuzidi tu jambo moja ktk mambo matatu, elimu, pesa au umaalufu tegemea siku yoyote tu kitanuka.
 
Hehehee hamtaki au? lile gazeti alilo post insta hamkuliona ngoja nili google, the best part is internet never forgets.
Ni gazeti lipi? Aman, ijumaa wikenda, risasi mchanganyiko sani au lipi??
We ni msomi lkn elimu yako si kwa matumizi sahihi sijui unyanganywe hiyo degree ya PR?
Hayo magazeti hata wewe unaweza kuwa direct wakaandika unachotaka ni pesa yako tu, mradi gazeti liuze mkono uende kinywani basi. Unaanze kuyaamini?? Kiasi cha kuyaleta huku GTs?
 
Sio gazeti actually JD alipost Instagram yy nwenyewe tens in parts mpk akatuma na pick ya kidole kimevilia damu akasema mumewe kampiga.
 
"Naomba nimpogeze Gadner for handling this issue like a man""
Am not suprised, this is nature, its how we are evolutionary built in our instincts, no body can chamge this.
Gadner anawakilisha wanaume, jide anawakilisha wanawake, this is how the to parties react towards an emotional stress.
Tukisema wanawake ndivyo mlivyo tunaonekana kama tunawatusi au kuwanyanyapaa. You have said all the truth though.
 
Sio gazeti actually JD alipost Instagram yy nwenyewe tens in parts mpk akatuma na pick ya kidole kimevilia damu akasema mumewe kampiga.

Hahahaaa lara 1 umekubali sasa tukiwambia wanawake sometime hamueleweki japo sio wote, kama yeye anadai kambwaga mbona anahangaika yeye.
Daah sijui tuwafanyeje kwakweli.
 
Kiukweli I support the gentleman.....he showed yeye sio mvulana.....kudooos Captain
Sasa unadhani angefanyaje he is weak angaist the powerful lazima akae kimya na wala hapo sio kipimo cha uanaume wala nini, he is a failure it has known hakuwa na kitu pale.
Kama angekuwa na mali zake alizoshare angesema na hata asingesema atleast basi tungejua hata kupitia udaku.
Gadner now is a rolling stone. A shamed man. Hana pakushika kama dr rutengwe.
 
Hahahhahaha.....sipingani na mtazamo wako ila nakubali kutofautiana nawe. Gardner sio wa kwanza kuachwa na wala sio wa mwisho. Yaweza kuwa kwa mtu yoyote. Sina uhakika hali yako ya ndoa ila kwenye makubaliano yoyote kuna kujitoa....wakati fulani ni bora kuangalia kipi kina maslahi kwa familia. Na hiyo huondoa ubinafsi,vitu vinakuwa vya familia,sio cha fulani....anywy ni mambo ya familia yao ila kwa kukaa kimya...huo ni uungwana wa hali ya juu...hata kama kamusi yako haisemi hivyo.
 
Aisee nakukubali umetoa comment makini huu ndio u great thinker mkuu
 
ubalozi unauweza mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…