Nakuunga mkono Lara 1 asilimia mia moja. Watu wana mapenzi na Lady JD kiasi kwamba hata ukweli hawtaki kuuona. Gadner alikuwa Meneja wa LAdy JD nani ambaye hajui.Akili zake Nguvu zake, Vipaji vywake vyote alivitumia kwa huyu mama . Leo hii eti Gadner hana haki ya kitu chohcoet KWakwelu Lady JD Mungu atakuadhu=ibu hapa duniani kwani ulichofanya sio utu hata kidogo. Hiyo haitoshi unatumia kipaji chaki kumuimba Exwako ni haki kweli. Hivi yeye angeanza kukusimanga kwa kukosa motto ungestahimili kweli. Yeye ana a very beautiful Girl lakini aliamini mko wote. Kwani ups and downs kwenye familia ni ajabu?!?!?! Ulitaka akunyenyekee? Gadner don't worry anza maisha yako Mungu atakujalia. nakumbuka uliacha Offer kubwa Kenya wakati uliyemuamini mke wako alipokuambia chagua kati ya kazi na mke naamini kwa upendo tu ukachagua Mke baada ya miaka michache tu anakuacha na kusema huna chako?!?!?! Komaa na Mungu atakusimamia! Sijasikia ni grave sin ipi uliyofanya kustahili haya!