GADNER IS ONE TRUE HERO! Sio wanaume wote wenye ujasiri wa kulikabili Comandoo Ndii ndiii

GADNER IS ONE TRUE HERO! Sio wanaume wote wenye ujasiri wa kulikabili Comandoo Ndii ndiii

Kukojozwa ni sawa na mbio za mwenge! Hata wapinzani wapige kelele vipi! Lazima kila mwaka lazima mbio ziwepo!
Ndio maana Pinda akasema wacha wakojozwe tu maana hakuna namna nyingine!
 
I respect you lala1 cant make bad comment on you.but i beg to differ with your observation, G.Habash is not an innocent as you make us believe. he is like JIDE they are all craps
 
Lait kama sehemu kubwa ya mali ingekuwa ya Gadner hapo wanasheria wanafiki watetezi wa haki za wanawake wangedai mgawanyo bt nw mwanaume hana haki wakati ilikua ni ndoa halali halafu huyu ndi ndi ndi ana hacra coz atakua hakojozwi tena na jamaa ndo maana anamzungumzia sana
 
Gadna amefeli sana kwa kauli yake ile. Being a woman is a handicap, so as a man you have to check all the political correctness' horizons before you do or say anything to/about a woman. Ni kama masikini anavyoweza kusema chochote kibaya kuhusu tajiri, ila tajiri lazima aangalie chochote kibaya anachosema kuhusu masikini.

Pia Lady Jaydee ni msanii. Inawezekana hakumlenga mshkaji kwenye hizo nyimbo zake, ila watu tunatafsiri tulivyoelewa. I'm sure "wanaume kama mabinti" ingetoka leo, wote tungesema kaimbiwa Gadna.

G is a fcuk boy. A certified one. And it's really pathetic cuz he's too old for that lameness.
 
Gadna amefeli sana kwa kauli yake ile. Being a woman is a handicap, so as a man you have to check all the political correctness' horizons before you do or say anything to/about a woman. Ni kama masikini anavyoweza kusema chochote kibaya kuhusu tajiri, ila tajiri lazima aangalie chochote kibaya anachosema kuhusu masikini.

Pia Lady Jaydee ni msanii. Inawezekana hakumlenga mshkaji kwenye hizo nyimbo zake, ila watu tunatafsiri tulivyoelewa. I'm sure "wanaume kama mabinti" ingetoka leo, wote tungesema kaimbiwa Gadna.

G is a fcuk boy. A certified one. And it's really pathetic cuz he's too old for that lameness.
Nimekuelewa vizuri mkuu...kuna watu wanalazimisha tuamini wanachoamini.
 
Gadna amefeli sana kwa kauli yake ile. Being a woman is a handicap, so as a man you have to check all the political correctness' horizons before you do or say anything to/about a woman. Ni kama masikini anavyoweza kusema chochote kibaya kuhusu tajiri, ila tajiri lazima aangalie chochote kibaya anachosema kuhusu masikini.

Pia Lady Jaydee ni msanii. Inawezekana hakumlenga mshkaji kwenye hizo nyimbo zake, ila watu tunatafsiri tulivyoelewa. I'm sure "wanaume kama mabinti" ingetoka leo, wote tungesema kaimbiwa Gadna.

G is a fcuk boy. A certified one. And it's really pathetic cuz he's too old for that lameness.

Cut him some slack!
 
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Too bad walls don't talk, too bad you hardly know what really happens or happened in this marriage. I don't support domestic violence and you really would be surprised at the length women go to, to hide this regardless of their status. Try to -as you say "read between the lines".
 
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Too bad walls don't talk, too bad you hardly know what really happens or happened in this marriage. I don't support domestic violence and you really would be surprised at the length women go to, to hide this regardless of their status. Try to -as you say "read between the lines".

hIVI ULIONA PICHA ALIYO POST JIDE YA DOMESTIC VIOLENCE? Hahahahaaaa! Ngoja ninyamaze mimi.
 
Umenifanya nielewe zaidi the way your thoughts leading... Na umenifanya nimfikirie zaidi captain Gadner, nime zoom situation he is right now i presume he doesn't feel alright at all and he wont let anyone knows what he is feeling inside.... Ila mpaji ni Mungu kama ipo ipo tu, kama uliandikiwa YES mbinguni basi hakuna wakuzuia hapa duniani,
 
There is too much stupid and immaturity from what you have written...so many words kumsifia mtu anaeweka ligi na mtalawaka wake...foolish kabisa...mwanaume mwenye busara huwa ana mute na kujiweka pembeni na mtalaka wake ili Dunia ijua ni nani mwenye matatizo...Captain angekuwa mwenye akili asinge jibizana na Commandoo Ndindiiiiindi...nadhani elimu ndogo ya std seven ndo inamponza....

Hivi huwezi kutoa hoja mpaka mlete zenu za Elimu ndogo?Eti Elimu ndogo ya std7.WTF?
Sijui Kama unajua Wako wasomi wengi sanaaaaaa Na wenye Elimu Na hekima Ni wachache.
 
Kukojozwa ni sawa na mbio za mwenge! Hata wapinzani wapige kelele vipi! Lazima kila mwaka lazima mbio ziwepo!
Ndio maana Pinda akasema wacha wakojozwe tu maana hakuna namna nyingine!

Nilijuwa tu utaingiza siasa.Wacha ufirauni Mzee Mussa.
 
Dah hawa wakojozwaji wa aina ya Ndi ndi ndi, wanapenda kuchonga sana. Mkojozwaji angeuchunaa tu kuepusha kuendelea kujidhalilsha
 
HAHAHAAAAAAAA! Sasa Zari ana senti gani hapo anamuingiza hawara nyumbani kwa ex hubby? Hahahaaa! Nitake radhi. Jide kweli ana visenti na Dimond anavo pia. Atleast kweli unaweza sema nawaonea wivu which is also preposterous assumption.

Na G kwenye kauli hio ALITAJA JINA? So it is okay kusema Gadner Mzee, anataka kunizeekea, kusema nilikuwa nalilisha manake lidudu, na yote aliyosema ILA GANDER KU STATE THE FACTS ZA HALI HALISI MAANA HAJADANGANYA NDO BIG DEAL? HE WAS JUST BEING A MAN DEFENDING HIS EGO, SAWA HANA PESA, HANA LOLOTE ILA YOTE JUU YA YOTE ATLEAST ALIMKOJOZA NDIO. Hahahaaaa!

FYI sina chuki na wenye nazo ONLY I PREFER TO LEND MY HELPING HAND TO THE WEAK. In any Saga or media frenzy i will side with the weak.
Ila Lara inakuaje mchagga anatolewa KO kwenye helerii sasa? huyu mkojozaji hakusoma ata alama za nyakati?
 
....yes Gardner mara nyingi huwa hakurupuki kujibu waandishi hovyo,siku zote amekuwa akijibu kistaarabu km "comando sio adui yangu", but upande wa pili ndio umekuwa na majibu km; "mimi ndio nilikua namlisha"!, kweli ukisoma vizuri between the lines,utajua who is desperate!
Hawezi kumlisha,wote tunajua captain ni mtu mzima na uwezo wa kufanya kazi anao means hata kujikimu anaweza.BIG UP CAPTAIN G.
 
Hahahaaa lara 1 umekubali sasa tukiwambia wanawake sometime hamueleweki japo sio wote, kama yeye anadai kambwaga mbona anahangaika yeye.
Daah sijui tuwafanyeje kwakweli.
PIGA PICHA NDO CAPTAIN ANGEMUACHA JIDE BILA KITU CHOCHOTE,WANAWAKE TZ NZIMA WANGESIMAMA KUTETEA HAKI ZOA NA KUTAKA WAGAWANE MALI.MPKA WAZIRI ANGEFUATWA HAPO.
 
Back
Top Bottom