Gadner vp tena Times?

Gadner vp tena Times?

Kazitunayo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2013
Posts
3,782
Reaction score
3,199
Huyu jamaa alikua kwenye kipindi cha maskani cha Times FM sasa hivi simsikii tena maana nilisafiri kikazi mkoa na uko mkoa Times hamna mwenye data hebu atujuze wajameni.
 
Kwanza Fm ya Lady Jaydee ipo njiani pengine maandalizi yamepamba moto!
 
Mbona anasikika mkuu??
Ni jana tu hajasikika.. Edzen ni backup wa kipindi cha Maskani kama Gadna hayupo...
 
Duh kama kweli bas dada yetu katishaaaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Uyu jamaa alikua kwenye kipindi cha maskani cha Times FM sasa ivi simsikii tena mana nilisafiri kikaz mkoa na uko mkoa Times hamna mwenye data ebu atujuze wajameni

Mbona anasikika mkuu......

au we mara ya mwisho ulisikiliza nini
 
Back
Top Bottom