Gado amchora magu! Aisee ni ataree..selo itamhusu hivi karibuni

Gado amchora magu! Aisee ni ataree..selo itamhusu hivi karibuni

1academ

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
2,316
Reaction score
3,567
Feb.24.17.Magufuli.A.Bull_.in_.China_.a.shop_-1024x723.jpg
 
Daaah imebidi nicheke huku ninasikitika, si jambo zuri uchoraji wa aina hii
 
Labda jamaa awe anaishi nje ya Tanzania maana uchoraji wa hivi utaweza kumuweka mahala pabaya.
 
dah!! ukiwa mtawala omba hekima sana,otherwise utaumiza wengi sana,mfano huyu ni kumsamehe bure tu
 
Hahah,huyu jamaa kuna kitu anakitafuta nadhan,mabwepasi kwa wale wanasoka patamuhusu siku moja.
 
Bahati yake anaishi Kenya, na anafanya kazi shirika la Ulaya
 
Kuna uzi kama huu, umeondolewa muda si mrefu. Naamini na huu hautakaa!
 
Back
Top Bottom