Gaidi la kijerumani lashambuli shule nchini Urusi na kuuwa watu 13 wakiwemo watoto 7

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Gaidi la kijerumani lenye mrengo wa neo-fascism limeshambulia shule moja nchini Urusi na kuua watu si chini ya 13 wakiwemo watoto 7. Waliojeruhiwa ni watu wazima 14 na watoto 7.

Gaidi hilo la kijerumani lenye umri wa miaka 25 limetiwa nguvuni na tayari limefunguliwa kesi.

Kwa mujibu wa Aljazeera, matukio ya kurusha/kurushiana/kupigana risasi mashuleni ni machache mno nchini Urusi.
=====


 
Hilo gaidi linaloua watoto lifungwe kwenye kifaru cha vita hapo mbele kama ile midoli ya urembo. Jinga sana.
 
Sion mahali ambapo wameandika ni gaidi la kijerumani
 
Mtajijua wenyewe Warusi wa Kwamtogole, mtapigwa mpaka Kremlin ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…