Gairo: DC amtuhumu mwenyekiti wa CCM kuhongwa gari na mbunge Shabiby, mwenyewe akana asema amenunuliwa na Dkt. Mwigulu. Kesi iko Takukuru

Shabiby kaa mbali na huyo mwanamke. Ni mchepuko wa boss mkubwa. Achia ubunge na kila kitu. Endelea tu na biashara zako.

Huu ni ushauri wa bure, utafilisiwa, utasingiziwa kesi na ubunge utakosa.

USIJE UKASEMA SIKUKUAMBIA!.
 
Pamoja na yoote hayo naomba kwa leo tuyaache hadi baada ya siku 7 ili tuendelee kutafakali hotuba ya rais mtarajiwa mh Lissu
 
Huyo ashapewa mrungula na kuchikuchi hota hai
 
Shabiby kaa mbali na huyo mwanamke. Ni mchepuko wa boss mkubwa. Achia ubunge na kila kitu. Endelea tu na biashara zako.

Huu ni ushauri wa bure, utafilisiwa, utasingiziwa kesi na ubunge utakosa.

USIJE UKASEMA SIKUKUAMBIA!.

Kakosa sifa kitambo sana ubunge sio ajira ya kudumu , akae pembeni aendelee na bziness
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…