KAGAMEE JF-Expert Member Joined Dec 20, 2013 Posts 4,457 Reaction score 5,454 Jun 9, 2020 #81 Jane Lowassa said: Kwani Kigogo wa Twitter anasemaje juu ya hili? Click to expand... Hahahaa amekaa kmya ukute yeye ndo alihonga.
Jane Lowassa said: Kwani Kigogo wa Twitter anasemaje juu ya hili? Click to expand... Hahahaa amekaa kmya ukute yeye ndo alihonga.
A Ambakucha JF-Expert Member Joined Aug 16, 2019 Posts 317 Reaction score 520 Jun 9, 2020 #82 johnthebaptist said: Bwashee jina la DC sikulisikia vizuri luningani! Click to expand... Anaitwa Siriel Mchembe
johnthebaptist said: Bwashee jina la DC sikulisikia vizuri luningani! Click to expand... Anaitwa Siriel Mchembe
A Ambakucha JF-Expert Member Joined Aug 16, 2019 Posts 317 Reaction score 520 Jun 9, 2020 #83 Anthony Lawrence said: I hate politics Click to expand... Ase kweli. Nasikia kulikuwa na kikao cha madiwani na DC huyo. Madiwani walikuwa 'wakimlalamikia' mheshimiwa huyo mambo fulani, lakini ghafla DC akaanza na tuhuma dhidi ya mwenyekiti wa CCM wilaya. Halafu gari lenyewe limenunuliwa kwa Tsh. Milioni 4.
Anthony Lawrence said: I hate politics Click to expand... Ase kweli. Nasikia kulikuwa na kikao cha madiwani na DC huyo. Madiwani walikuwa 'wakimlalamikia' mheshimiwa huyo mambo fulani, lakini ghafla DC akaanza na tuhuma dhidi ya mwenyekiti wa CCM wilaya. Halafu gari lenyewe limenunuliwa kwa Tsh. Milioni 4.