Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,560
And that's it...akina Samatta watapita njia tofauti na yeye kwa kuangalia vile alivyofail na hivyo kupita njia ya akina Etoo na Drogba ambao wametumia fursa vizuri.Lazima watu wachache watolewe muhanga na maisha ili wengine wajifunze!!
Umefanya analysis nzuri.Hili ni jambo la kawaida katika maisha.Kabla halijatokea,hakuna aliyekuja kulifafanua hapa kama sehemu ya kutoa angalizo.Tatizo la Mwafrika mmoja usilihusishe na wafrika wote, kwani hujasikia uwekezaji uliofanywa na Tijani Babangida kwa kujenga Mall za kutisha jijini Abuja na Lagos, hujasikia Uwekezaji wa Nwako Kanu kwenye masuala ya Afya ya moyo nk. Kuna wafrika wengi tu wamewekeza barani Afrika na ulaya. Hili lililomkuta Emanuel Eboe pia lilishawakuta masupastaa wengi Marekani, Ulaya na Brazil. Hivyo halina uhusiano wowote na asili ya Eboe
Lazima atengemae kwanza,kichwa kikipoa,atapata washauri wa kisheria huko Uturuki halafu watamsimamia.Hopefully haki yake haitapotea kutoka kwa wale mbwa koko(samahani naomba nitumie neno hilo kuonesha kuguswa kwangu na dhuluma hii alifanyiwa Emanuel Eboue).Hii kesi na mkewe ni lazima iangaliwe upya. Alichostahili mkewe ni 50% na siyo 100%.
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji324] [emoji324] [emoji324]Wazung huwa wanatafuta nafasi ya kutukomoa.they are opportunists,ni wwatu wabaya sana walee wakija huku wanajidai wanachekacheka tunawaona watu,mimi hawa watu siwapendi kabisa basi tu.wao ndio wanaovuruga nchi za watu hawatulii kwao hiki ndio chazo cha mizozo.watu wakienda huko wanaacha wamatumbi wenzao wnangalia kyuma nyeupe.
Lazima atengemae kwanza,kichwa kikipoa,atapata washauri wa kisheria huko Uturuki halafu watamsimamia.Hopefully haki yake haitapotea kutoka kwa wale mbwa koko(samahani naomba nitumie neno hilo kuonesha kuguswa kwangu na dhuluma hii alifanyiwa Emanuel Eboue).
Acha uongo huyu Kesi yake ni baadaya yababa yake mzazi kufariki kipindi hiko akiwa inter Milan ndio alipoaza kuchanganyikiwa kwa msiba wa baba yakeTena brazil ndo wamezidi unamkumbuka Adriano? Jamaa kaendekeza pombe, kubet malaya mpira ukamshinda ulaya karudi kwao brazil kastaafu mpita mdogo tu miaka 30 na sasahivi ni teja tu mtaani unakula unga
Hivi samatta kaanza kuwekeza kweli!?And that's it...akina Samatta watapita njia tofauti na yeye kwa kuangalia vile alivyofail na hivyo kupita njia ya akina Etoo na Drogba ambao wametumia fursa vizuri.
Kweli mwanamke si ndugu yako.....dah..hata hamuonei hurumaHii kesi na mkewe ni lazima iangaliwe upya. Alichostahili mkewe ni 50% na siyo 100%.
Sijajua mkuu, kuna kipindi nilisikia kuna eneo anaplan kuliendeleza.Sikufuatilia plan ilikuwa ni nini.Hivi samatta kaanza kuwekeza kweli!?
Wale jamaa ni watu wa kufanya nao kazi au urafiki kwa tahadhari kubwa. They are real animates.Unahenyeka miaka yote halafu mali yako yote anachukua mzungu ambaye hakukusaidia chochote kile.
Siyo kweli...wapo waliooa waafrika na hawakufanya vizuri kama Rigobert Song...na wapo waliooa wazungu lakini wamefanya vizuri kama Kajumulo[emoji23]Pole Sana eboue, tatizo ushamba ulikuponza Kuoa mzungu. Ungeoa mwafrika mwanzako kutoka ivory coast leo bado ungekuwa unatusuwa
Utakuwa hufuatilii siasa wewe, au una ugomvi na Eboue.Sijapata kuona mtu mjinga kama huyu ... ndio wakome kuoa wanawake wa kizungu na kusahau kwenu
Sure...kachomoka mdada wa watu.A White masai miafrika ni kama mi kunguru mieusi unakuta stress za kufilisika lilitaka kumpeleka mzungu wa watu kama lenyewe li mwinyi so ndio maana mkewe kabwaga manyanga
Ukatili wake tu...some of them are very bright and helpful.Kweli mwanamke si ndugu yako.....dah..hata hamuonei huruma