Galatasaray yaguswa Eboue, kumpatia ajira

Mali karibia zote aliandikisha jina la mkewe

Hilo ndio tatizo na alimuachia mke wake a-control mali na account za benki

Ni mpumbavu tu haki yake
Huyu mchezaji inabidi apimwe akili kama si mkojo!
 
Mapenzi bhana yakiwa matamu wala usikilizi mtu
View attachment 659798
Hapo si mapenzi Bali utaahira! Inabidi waalimu wa biology wawaelimishe watu kuwa huko "chini" hakuna tofauti ya mzungu na mwafrika! Naona waafrika wakioa wazungu wanaona kama wake zao wana ziada Fulani kwa ajili ya uzungu wao wakati huko chini kuko sawa na wabongo tu!
 
"Asante Tanzania nchi yangu nakupaenda sana.Umenipatia mke mzuri hapa hapa Tanzania".
 
Drogb Drogba , arsenal , team mate etc pound 1000 kila mtu inatosha
 
Tofauti watoto wao wanakuwa coloured
 
Sijapata kuona mtu mjinga kama huyu ... ndio wakome kuoa wanawake wa kizungu na kusahau kwenu

Si bora hata yeye......kuna wanawake wa ki Afrika wengine ukizubaa wanakutoa roho kabisa sababu ya mali zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…