Galatasaray yaguswa Eboue, kumpatia ajira

Galatasaray yaguswa Eboue, kumpatia ajira

Mapenzi bhana yakiwa matamu wala usikilizi mtu
View attachment 659798
Hapo si mapenzi Bali utaahira! Inabidi waalimu wa biology wawaelimishe watu kuwa huko "chini" hakuna tofauti ya mzungu na mwafrika! Naona waafrika wakioa wazungu wanaona kama wake zao wana ziada Fulani kwa ajili ya uzungu wao wakati huko chini kuko sawa na wabongo tu!
 
"Asante Tanzania nchi yangu nakupaenda sana.Umenipatia mke mzuri hapa hapa Tanzania".
 
Drogb
Hata akina Eto'o wanapaswa kumsaidia mwenzao.Kama walikuwa na tofauti,wasahau hilo na wamuinue baadae watamwambia ukweli.
Tuchukulie wale Waafrika wote wanaoendelea kucheza soka la kulipwa Ulaya na Asia wakisema kila mtu atoe angalau 15% ya mshahara wake wa wiki wakamuandalia kitu kama nyumba and the like, wanaweza kuwa wamemboost sana.
Nawaza kwa sauti.
Drogba , arsenal , team mate etc pound 1000 kila mtu inatosha
 
Hapo si mapenzi Bali utaahira! Inabidi waalimu wa biology wawaelimishe watu kuwa huko "chini" hakuna tofauti ya mzungu na mwafrika! Naona waafrika wakioa wazungu wanaona kama wake zao wana ziada Fulani kwa ajili ya uzungu wao wakati huko chini kuko sawa na wabongo tu!
Tofauti watoto wao wanakuwa coloured
 
Sijapata kuona mtu mjinga kama huyu ... ndio wakome kuoa wanawake wa kizungu na kusahau kwenu

Si bora hata yeye......kuna wanawake wa ki Afrika wengine ukizubaa wanakutoa roho kabisa sababu ya mali zako.
 
Back
Top Bottom