Galaxy Special: Kwa waliowahi kusoma/kufundisha Galanos High School.

Steve alikuaga Sua ila kwa sasa sijui yuko wap..... Tangu marehem Charlse atutoke nmekua sina Info zake!
Okay.
Benghazi...haha kile kipindi ilikuwa vita vya Libya ndio vimepamba moto.
Chocks
Dunia
Verani
Arra (r.i.p)
 
Reactions: Oxx
Duh...Galaxy raha sana....Kumbe msocha wa zamani sana. Mi nmepita pale chini ya headmaster Said Saadan aliyeletwa kutok usagara, walimu kama Sembe, Singano, Sangawe, Maadam Miyanga....Vigodoro kwa saana na madem zetu wa Korogwe maana St Christina wanajiona wa kishua saana.
 
Huyo saadani si baada ya McMaster.
 
Arra kafariki au?

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Yeah Charles Arra Alisha fariki mkuu.
Ilikuwa mwaka 2015 hivi kama sijakosea alipatwa na umauti huko babati alipigwa na short ya umeme.

Alikuwa ndio anakaribia kumaliza Chuo.
 
Yeah Charles Arra Alisha fariki mkuu.
Ilikuwa mwaka 2015 hivi kama sijakosea alipatwa na umauti huko babati alipigwa na short ya umeme.

Alikuwa ndio anakaribia kumaliza Chuo.
Dah,aisee nilikuwa sijui.
Jamaa alikuwa peace sana.
R.I.P

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka msocha alikuwa anakaa staff mpaka saa nne usiku anaangalia tv

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Msocha tulikuwa chui na paka, aisee huwezi amini siku naenda kufuata cheti changu akanipokea vizuri sana.

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile App
 
Mkuu hilo Ni jambo jema. Fanya kuwqcheki mods waweke Uzi sawa.

Yule jamaa ambaye tulikuwa tunamwita fatuma alikuwa anafundisha chemistry na math.

Kama ulimaliza mbele yangu huwezi kumjua ,but wewe daby tulimaliza wote
Fatumaa hahha alikua ana ubishoo flani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kwenye suala la kutoboa kuna jamaa alikuwa anaitwa Kilonzo, huyu alikuwa ni noma Kwa misuli mikali!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…