Hata Mimi juzi tuu nimemkuta msocha kanikumbusha mbali saana.Juzi kati nimeenda nimemkuta msocha yuko vilevile[emoji23] [emoji23] full mawenge
Kumbe chief ulisoma pale...hongera.Kumbe wewe pia umesoma galanos
Huyo mama jina lake jingine Ni nan??Mmh kafariki alihamishiwa secondary moj inaitwa kihere ipo sahare kafa kam kitu kama 2013 2014
Sent from my SM-J320FN using JamiiForums mobile app
Kama sikosei anaitwa Amina kanyama mavaz yake yote ni marefu halaf anajifunga ushungi halaf mkono wake mmoja ni mfupiHuyo mama jina lake jingine Ni nan??
Kuna Maza alikuwa anaitwa kinenekejo ,
Huyu Mgalawe ndo yule aliyekuwa mwalimu wa michezoMsocha,kinala,msombwa,kika,masawe,mgalawe,mbogo,mama kanyama aisee ni galaxy hasa.
Mi nlikaa 5 mpaka six sikuhama cube,Raha ya chai number 2 unatoka uch* kwenda kuoga unarudi uch* cube,Teh teh tehKube namba two pale nilikaa nikiwa mgeni zile harufu za toi watu wasipomwaga maji zilinichosha.
Nikahama juu huko gorofani
Socha Boy, Msombwa, umenikumbusha Masawe daah, alikuwaga mnoko sana yule dingi na 'Kiinglishi' chake, ila mkewe mama Masawe alikuwa powa sana, ticha wangu wa Kemia. Mgalawe niliskia hayupo na Mbogo nae nimeskia kuwa alifariki.Msocha,kinala,msombwa,kika,masawe,mgalawe,mbogo,mama kanyama aisee ni galaxy hasa.
Ha haaa haaaa kweli mkuu... Mimi ile harufu noooMi nlikaa 5 mpaka six sikuhama cube,Raha ya chai number 2 unatoka uch* kwenda kuoga unarudi uch* cube,Teh teh teh
Duuuh, ticha Kanyama kumbe hatuko naye!!! Mbogo pia nilisikia alipoteza maisha, Mtunguja pia, wapi Godson???Alifariki 2012 kanyama
Sent from my SM-J320FN using JamiiForums mobile app
Hahahahaaaaa, Msocha alikuwa akiingia tu Dom anaanza na wewe maana ni mlangoni pale!Kube namba two pale nilikaa nikiwa mgeni zile harufu za toi watu wasipomwaga maji zilinichosha.
Nikahama juu huko gorofani
Huyo Mama Msemo, sina hata cha kuongea. We wacha kabisa, Mungu amrehemu huko alikotanguliaWale waliosoma enzi za Kinala na Makamu wake mama Msemo(RIP), na mzee Kilindi(RIP) kama Mwalimu wa Economics, Na Masanja(History)
Socha Boy, hazeeki yule mtu, ni shida!Hata Mimi juzi tuu nimemkuta msocha kanikumbusha mbali saana.
Kuna kipindi alinunua kapikipiki sasa akawa hawez kuendesha vizuri.
Akiwa anapita huku nyuma tunamcheka hawez kugeuka Bado Lena.
Alipokuja kuimaster fresh tulimkoma.
Cc Daby
Mi nlikaa 5 mpaka six sikuhama cube,Raha ya chai number 2 unatoka uch* kwenda kuoga unarudi uch* cube,Teh teh teh