Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,508
- 1,566
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ....aisee...miaka yetu tulikuwa tunajenga hoja...basi tunaletewa watoto wa KO....Mafundi hapa katikati mlikosa soko. Mliwekewa wasichana hapo hapo school.
K.o tulikuwa tuna tawala sisi
Jtatu tukiingia class tunanuniwa vibaya sana na madada....those years madada walikuwa wachache.....kwa class ya 40 students only 8 were girls.....
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app