Galaxy Special: Kwa waliowahi kusoma/kufundisha Galanos High School.

Galaxy Special: Kwa waliowahi kusoma/kufundisha Galanos High School.

Haha, mwenyeji niliwapokea hivyo picha ikujie. Na tuliokuwa tunabakia hapo advance tulikuwa tunajulikana wazi.
Ndiyo maana nimekwambia nshakujua sababu waliobakia hapo baada ya kumaliza four walikuwa wachache sana kama kija mlulo mugema,suma yule alikuwa anavaa miwani na wengine...
 
Omary alikuwa hana nooma.
Kwa wa-serbia watakuwa wanamkumbuka kwenye chemistry jamaa ni kichwa balaa.

Halafu kuna mwingine alikuwa anaitwa Jinyevu huyu jamaa asemble alikuwa akiongea ngeli hamuelewi.
Aisee unawakumbuka walimu balaaaa

Huyo jinyevu daaahhh alikuwa anatema yai saana alikuwa msafi Fulani amepinda.

Kuna Yule jamaa tulikuwa tunamwita fatuma unamkumbuka????
 
Back
Top Bottom