Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hayo majamaa ya galaxy hata AI haawaijui, lipicha gani hilo aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajatumia Al kutengeneza hyo pcha.... hii inaonyesha wapo vizuri kichwaniHayo majamaa ya galaxy hata AI haawaijui, lipicha gani hilo aisee
Yani nyie ndo mmechanganyikiwa mpka sasa..yani kwa jinsi mlivyo na kihoro cha roho mbaya mkitaka tufungwe hata chakula nadhani hakipiti...
Roho mbaya ni mzigo mzito..
Basi vichwa vyao boxHawajatumia Al kutengeneza hyo pcha.... hii inaonyesha wapo vizuri kichwani
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Jamaa wanajua mpira wa fitnaDah..jamaa watakua wanahaha kwa njia zote ..wamechelewa
Waje mbele yaoHizi sasa zarau....
Halafu hii poster ina mkanganyiko, wao Galaxy ndiyo wanakuja kwa Simba halafu wanasema "waache waje?"
Ngoja uone hiyo jumamosiYeye Wydad anacheza na viongozi wa Galaxy na unaweza ukakuta kuna wamba wapo Tz na mzigo.
Hao watafanya nini zaidi ya kuhakikisha timu inapambana ndani ya uwanja? Yaani baada ya kucheza na viongozi na wachezaji wa Simba unaangaika na mgeni. Watafanya mbinu gani ya kujinasua?Yeye Wydad anacheza na viongozi wa Galaxy na unaweza ukakuta kuna wamba wapo Tz na mzigo.
Simba hii na ile ipi moto?
Teh teh leo ndio mnajua roho mbaya ni mzigo mzito sioYani nyie ndo mmechanganyikiwa mpka sasa..yani kwa jinsi mlivyo na kihoro cha roho mbaya mkitaka tufungwe hata chakula nadhani hakipiti...
Roho mbaya ni mzigo mzito..
Sisi Yanga hatumo kwenye huo ujinga,kila mtu ashinde match zake.Pamoja na kusuasua kwa Simba, Galaxy hawezi kushinda hiyo mechi wala kulazimisha sare. Nguvu zote za nchi zipo kuhakikisha TZ inaingiza timu mbili kwenye robo fainali.
Hata asipoicheza bado Jwaneng nao wahitaji nafasi ya pili wafuzu robo so mchezo utakuwa mgumu lakini Jwaneng atakufa nyingi sana.Hii mechi Wydad anaicheza kwa kutumia msuli wake wa kiuchumi.
Watie wasitie hawana kasheshe, si walikufa mbili kwa Mkapa? Sasa wana maajabu gani hata wakitia huo mkono!?
Kama msuli wake wa kiuchumi ndio ule uliofanya akafungwa na Simba Sc mara mbili mfululizo hapa Tz, sidhani kama una madhara.Hii mechi Wydad anaicheza kwa kutumia msuli wake wa kiuchumi.
Yaani Wydad amuombee Jwaneng ashinde wakati Jwaneng akishinda anakuwa na uwezekano mkubwa wa kufikisha points 7 ambazo zinaweza kumpeleka robo final iwapo Wydad atapoteza!? Acheni kuwaza kileviYeye Wydad anacheza na viongozi wa Galaxy na unaweza ukakuta kuna wamba wapo Tz na mzigo.
Siku hio Simba akigongwa ndio itakua siku yangu ya furahi kupita siku zote Mwaka huu, na sio uongo Simba anakufaGalaxy wasituangushe
Hao maofisa wake ashindwe kuwatuma kwa Asec ambao hawana cha kupoteza awatume kwa Jwaneng ambao ni washindani wake kwenye nafsi ya pili!!!??? Mkiwa mmevuta msiwe mnapost aisee.Nasikia Wydad katuma maofisa wake Tz kuhakikisha mambo yake yanaenda[emoji1787][emoji1787]