Galaxy wapost poster ya kivita yenye maneno let them come

Galaxy wapost poster ya kivita yenye maneno let them come

Galaxy hakuna Timu pale bhana wababaishaji kama Simba tu kwa hiyo hapo yeyote anaweza kushinda ingawaje Simba ndio ana %kubwa ya kushinda hii gemu wapo Home ila kiwango chao ni papatu papatu tu..
 
Kwa huu mpira bebetu bebetu, tiamaji tiamaji wa makolo sijui kama watatoboa 🤔
 
Watakao kula hela ya Wydad

1. Marefarii hawa watapewa ili kubalance mchezo au kuwaua wenyeji

2. Mtu wa karibu wa Simba ili kuuza mbinu za timu na ikiwezekana kupitisha Takrima kwa baadhi ya wachezaji
Hamna, Galaxy ndiyo wanaenda kula hela ya pande zote. Wanachukua pesa ya Wydad wakimuahidi watakaza halafu watachukua pesa ya Simba wakiahidi watalegeza. Mwisho wa siku kiwango kitaamua au vigezo vingine.

Wydad wametuma watu wao ili kuangalia kama kutakuwa na viashiria vya Simba kupanga matokeo waje kushtaki au kumpa pressure tu Simba wacheze fair wakati hata wao wamepitisha mlungula.

Wanasahau kuwa muhuni ni rahisi kuliko kuwa mtakatifu, hali ikiwa ngumu tegemea camera za Azam kupata kaukungu fulani au kuanza kupiga shot kama za Bongo Movie huku mipango ikiendelea kufanywa kwenye pitch 🤣😂🤣
 
Hamna, Galaxy ndiyo wanaenda kula hela ya pande zote. Wanachukua pesa ya Wydad wakimuahidi watakaza halafu watachukua pesa ya Simba wakiahidi watalegeza. Mwisho wa siku kiwango kitaamua au vigezo vingine.

Wydad wametuma watu wao ili kuangalia kama kutakuwa na viashiria vya Simba kupanga matokeo waje kushtaki au kumpa pressure tu Simba wacheze fair wakati hata wao wamepitisha mlungula.

Wanasahau kuwa muhuni ni rahisi kuliko kuwa mtakatifu, hali ikiwa ngumu tegemea camera za Azam kupata kaukungu fulani au kuanza kupiga shot kama za Bongo Movie huku mipango ikiendelea kufanywa kwenye pitch 🤣😂🤣
Hahahaha..ahsante kwa kuiweka vzr ..hapo Galaxy wanaringa utadhani mwali wa kizaramo ...
 
Hamna, Galaxy ndiyo wanaenda kula hela ya pande zote. Wanachukua pesa ya Wydad wakimuahidi watakaza halafu watachukua pesa ya Simba wakiahidi watalegeza. Mwisho wa siku kiwango kitaamua au vigezo vingine.

Wydad wametuma watu wao ili kuangalia kama kutakuwa na viashiria vya Simba kupanga matokeo waje kushtaki au kumpa pressure tu Simba wacheze fair wakati hata wao wamepitisha mlungula.

Wanasahau kuwa muhuni ni rahisi kuliko kuwa mtakatifu, hali ikiwa ngumu tegemea camera za Azam kupata kaukungu fulani au kuanza kupiga shot kama za Bongo Movie huku mipango ikiendelea kufanywa kwenye pitch 🤣😂🤣
Kwahiyo camera za Azam zikiwa na ukungu basi kwa akili yako unadhani na watazamaji wa uwanjani wataona ukungu? Au unadhani hao waliotumwa wataangalia kwenye tv? Hao waliotumwa watakuwa ni sehemu ya watazamaji uwanjani. Sasa kama ingekuwa leo kufuatilia kwenye tv unadhani hii mechi Morocco hairushwi? Hao wafatiliana watakuwa uwanjani ili kuangalia matukio na ishara mbalimbali uwanjani
 
Back
Top Bottom