Haludzedzele
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,468
- 530
Anaitafuta aibu tuu na bosi wao alishasema ukiwa na tamaa ukikosa unapotelea ukouko hakuna uteuzi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hiyo mamlaka yenyewe itarudi! Subirini mtaona. Bora Gambo we amua kugombea tuu na ukipata sawa , ukikosa famililah! Maana uteuzi hauta kuwepo tena hata uvunje Nazi njia panda maana baada ya hii Tume huru ambayo LAZIMA iundwe kabla ya uchaguzi ndio itakayo sema CCM bye bye!Mamlaka iliyomteua ilishasema RC au DC yoyote akitangaza nia na akashindwa ubunge hatomteua tena
Sent using Jamii Forums mobile app