Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Mjinga sana, kwanini hakujiuzulu?"Watu wanasema mbona Gambo alikuwa m/kiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa lakini task force wakafanya unyang'anyi? Hawaelewi kuwa uongozi uliopita Ungeweza kuwa RC Ila kiongozi wa ngazi ya chini akawa na nguvu kutokana na anayemtuma kufanya mambo bila hata RC kujua" - Mh Mrisho Gambo
Na sisi ni wajinga sana kwanini mtu mmoja atuzidi akili watu 60M?Magufuli ndio chanzo cha mitafaruku yote nchini.
Aliivuruga nchi kwa miaka zaidi ya mitano . Itajengwa kwa zaidi ya miaka 5 tena
Mjinga sn, kwanini hakujihuzulu?
Kitu gani hizo kwenye nchi kitajengwa kwa zaidi ya miaka mitano na hapo nyuma kwani kilikuwaje?Magufuli ndio chanzo cha mitafaruku yote nchini. Aliivuruga nchi kwa miaka zaidi ya mitano . Itajengwa kwa zaidi ya miaka 5 tena
Alijiuzulu, akagombea ubungeMjinga sn, kwanini hakujihuzulu?
Alifukuzwa hakujihuzuluAlijiuzulu,akagombea ubunge
Kwani watumwa waliweza vipi kuchungwa na wazungu wawili, watu 200?Na sisi ni wajinga sn kwanini mtu mmoja atuzidi akili watu 60M?
Huo ndio ukweli mtupu!!watu watawalaumu sana, viongozi wengi waliopita, DPP, DCI, TAKUKURU, RC, DC, DED, IGP kwa mambo yaliyofanyika huku wakiwepo, lakini ki ukweli hawakuwa na namna ya kuyazuia, kwani mwendazake ndio alikuwa nyuma yake, labda njia waliyokuwa nayo ni kujiudhuru tu ili aone kuwa umekataa kutii, lakini ilikuwa lazima ujiandae kwa mateso(visasi)kwani usingeachwa hivi hivi tu!!!ndio maana wengi wao sasa matendo hayo yanawatesa sana!!ila tulikuwa ktk N.KOREA ya Afrika, MUNGU FUNDI"Watu wanasema mbona Gambo alikuwa m/kiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa lakini task force wakafanya unyang'anyi? Hawaelewi kuwa uongozi uliopita Ungeweza kuwa RC Ila kiongozi wa ngazi ya chini akawa na nguvu kutokana na anayemtuma kufanya mambo bila hata RC kujua" - Mh Mrisho Gambo
Watu wanataka pesa na uhuru wa kutumia mamlaka yao ya kiuongozi kwa kufuata katiba na sheria.Mjinga sn, kwanini hakujihuzulu?
Kwa mawazo ya kipumbafu kama haya akina Nyerere wasingekomboa nchi mpaka leo. OverWatu wanataka pesa na uhuru wa kutumia mamlaka yao ya kiuongozi kwa kufuata katiba na sheria.
Ukiwanyima uhuru still watataka pesa. Hakuna ujinga hapo.
Mjinga ni yule ambaye angechagua kupigana vita ambayo anajua angeshindwa.
Mkuu nikiangalia picha za utumwa najiuliza maswali mengi mno eti katoto ka kizungu kamoja kanalindwa na watu wenye miguvu yaoKwani watumwa waliweza vipi kuchungwa na wazungu wawili,watu 200?
Mwanafrika hanaga akili,,
Wanaume hawako hivi."Watu wanasema mbona Gambo alikuwa m/kiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa lakini task force wakafanya unyang'anyi? Hawaelewi kuwa uongozi uliopita Ungeweza kuwa RC Ila kiongozi wa ngazi ya chini akawa na nguvu kutokana na anayemtuma kufanya mambo bila hata RC kujua" - Mh Mrisho Gambo
Nyerere hakupigana vita aliyojua atashindwa ewe babati. Tulipigana kwa makaratasi na tulijua tutashinda maana hata hao waingereza hawakuhitaji sana koloni liendelee.Kwa mawazo ya kipumbafu kama haya akina Nyerere wasingekomboa nchi mpaka leo. Over
Ukweli mchungu, mtu mmoja na gobole lenye risasi moja anawaongoza maelfu kupanda meli bila hata kufahamu wanaelekea wapi.Kwani watumwa waliweza vipi kuchungwa na wazungu wawili,watu 200?
Mwanafrika hanaga akili,,