Hata mimi nashangaa
Hali hii tusiikubali tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nashangaa
Ni ulofa kukubali uhuni kama ule wa JiweHali hii tusiikubali tena.
Usiseme tu ameharibu mfumo wa utawala, elezea mfumo wa utawala kabla yake ulikuwaje, wakati yupo ulikuwaje na baada ya yeye kuondoka upoje.? muda mwingine unaweza kukuta namlaumu mtu bila hatia.Aliharibu sana mifumo ya utawala. Kutokana na kuharibu mifumo ya utawala, alifukuza wawekezaji na kuharibu ajira.
wabongo ukiwajulia haina shida jamaa kutumia nguvu nyingi kujisafisha maana aliyemtegemea hayupo na kwa vile kuna kuna kundi ukiongea kibaya cha awamu tangulizi wanakuunga mkonondo ame chukua njia hiyo kujifanya yeye hakuwa mmojawao ama kweli perception is the mother of deceptionhapo anajaribu kudondosha jumba bovu kwa DC wake ambaye walikua na beef balaa.
Mimi mgeni subiri wenyeji.Hii mwendazake alichukiwa sana
Ni ulofa kukubali uhuni kama ule wa Jiwe
Ukianzisha vagi unajua hiyo risasi moja itaishia kwa Nani?Ukweli mchungu,mtu mmoja na gobole lenye risasi moja anawaongoza maelfu kupanda meli bila hata kufahamu wanaelekea wapi.
Gambo hana mshauri mzuri?"Watu wanasema mbona Gambo alikuwa m/kiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa lakini task force wakafanya unyang'anyi? Hawaelewi kuwa uongozi uliopita Ungeweza kuwa RC Ila kiongozi wa ngazi ya chini akawa na nguvu kutokana na anayemtuma kufanya mambo bila hata RC kujua" - Mh Mrisho Gambo
Huo ndio ukweli mtupu!!watu watawalaumu sana, viongozi wengi waliopita, DPP, DCI, TAKUKURU, RC, DC, DED, IGP kwa mambo yaliyofanyika huku wakiwepo, lakini ki ukweli hawakuwa na namna ya kuyazuia, kwani mwendazake ndio alikuwa nyuma yake, labda njia waliyokuwa nayo ni kujiudhuru tu ili aone kuwa umekataa kutii, lakini ilikuwa lazima ujiandae kwa mateso(visasi)kwani usingeachwa hivi hivi tu!!!ndio maana wengi wao sasa matendo hayo yanawatesa sana!!ila tulikuwa ktk N.KOREA ya Afrika, MUNGU FUNDI
Huyu gambo akapimwe akili.Kama aliyaona hayo kwanini hakujiuzulu mapema?Gambo ni mnafiki na punguani kabisa.Alipewa ukuu wa mkoa na jpm.Pia ubunge.Lakini bado anamlaumu."Watu wanasema mbona Gambo alikuwa m/kiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa lakini task force wakafanya unyang'anyi? Hawaelewi kuwa uongozi uliopita Ungeweza kuwa RC Ila kiongozi wa ngazi ya chini akawa na nguvu kutokana na anayemtuma kufanya mambo bila hata RC kujua" - Mh Mrisho Gambo
cc Mama Anna Mghwira."Watu wanasema mbona Gambo alikuwa m/kiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa lakini task force wakafanya unyang'anyi? Hawaelewi kuwa uongozi uliopita Ungeweza kuwa RC Ila kiongozi wa ngazi ya chini akawa na nguvu kutokana na anayemtuma kufanya mambo bila hata RC kujua" - Mh Mrisho Gambo
Mzee enzi ya mwendazake kujiuzulu ilikuwa ni sawa na kujihukumu kifungo or kifo, kila mtu anapenda maisha yakeKwani Gambo kujiuzulu ni kupigana? Kuwa na akili kidogo basi.
PANCHA NYINGINE ZIPO KAMA PANGO LA AMBONI. HAZIZIBIKI. Mama kazi anayo!Huyu gaidi kwanini asifukuliwe akachomwa moto majivu tukamwaga mto wami. Mbona kila siku visanga alivyofanya ndio kwaanza vinaibuka. Kwa kweli mama nikupongeze sana hujalala kila siku unaziba pancha
Aliogopa kutekwa au kutishiwa bastola hadharani kama Nape,acha uboyaMjinga sana, kwanini hakujiuzulu?
We mpuuzi, mbona RC wa Kilimanjaro alijihuzulu ndiyo Anna Mngwira akateuliwa?Aliogopa kutekwa au kutishiwa bastola hadharani kama Nape,acha uboya