mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Gambo amesema kuwa yeye ndiye Mbunge halali kwa muda huu na yeyote anayehitaji nafasi hiyo anapaswa kusubiri muda ufike kisha kufata taratibu zote za kuwania nafasi hiyo na sio vinginevyo.
“Kama kuna mtu anataka ubunge, asubiri utaratibu ufike, ajitokeze uwanjani. Wananchi wa Arusha Mjini wanajua nani anawatumikia. Kuna watu wanatumia kivuli cha mamlaka zao kujaribu kunivuruga, lakini hatuna wasiwasi kwakuwa ni mzoefu kwenye siasa,”
Pia soma
- Pre GE2025 - Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini
- Mrisho Gambo: Nitaenda kuwajibu nini wananchi wa Arusha. Jiji kama Arusha linakosaje stendi?
“Kama kuna mtu anataka ubunge, asubiri utaratibu ufike, ajitokeze uwanjani. Wananchi wa Arusha Mjini wanajua nani anawatumikia. Kuna watu wanatumia kivuli cha mamlaka zao kujaribu kunivuruga, lakini hatuna wasiwasi kwakuwa ni mzoefu kwenye siasa,”
Pia soma
- Pre GE2025 - Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini
- Mrisho Gambo: Nitaenda kuwajibu nini wananchi wa Arusha. Jiji kama Arusha linakosaje stendi?