Game ya Azam vs Simba ichunguzwe

Itabidi uchunguzi uanzie ile mechi ya MNYAMA VS CHURA. Haiwezekani TFF waruhusu vyura kutoka bwawani waje kurukaruka KWA MCHINA, Tena walirukaruka kipindi MUNYAMA MK14 KIJICHO ana njaa kaliii...

Cc TFF
 
Tuanzie game la Yanga na simba, haiwezekani kagere afunge goli katikati ya mabeki uku mabeki wa Yanga na kipa wao wanatazama tu.hawa alikina Yondani waliuza mechi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo tambalalezzzzzz hakuna timu ya ku battle na Simba ikatoka salama, narudia hakuna, azam kapewa haki yake hivyo hakuna kitu cha kustajaabisha.
 
Hivi vyura walitegemea azam imsimamishe simba?
labda simba wamatopeni
 
kufungwa afungwe azam roho zinawauma vyura, noma sana
 
Reactions: Tui
Yanga andaeni pesa nanyie mnunue mechi za Azam.
Kwa nn uteseke
 
Azam vs Mwadui (1-1)

Azam vs Biashara (0-0)

Azam vs Mtibwa (0-2)

Azam vs Prisons (0-1)

Azam vs Coast union (1-1)

Azam vs Simba (1-3)

Kwa unafki wako unawasiwasi na mechi ya Simba tu



Sent using Jamii Forums mobile app
mjomba tatizo si matokeo , shida ni kiwango na uchezaji wa Azam kwa ujumla , hawakuja kushindana kabisa !
 
Hivi wadau kweli kwa utajiri was azam utamuhonga tsh ngap mchezaji wao akubali kuuza game?
kwani juventus wakati anapanga matokeo miaka hiyo alikua anafanyaje ili hali club karibia zote ni tajiri seria A
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…