Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo wa Azam ndio huo uliouona Leo na ndio wanacheza hivyo mechi zao zaidi ya 7 zilizopita.mjomba tatizo si matokeo , shida ni kiwango na uchezaji wa Azam kwa ujumla , hawakuja kushindana kabisa !
Mkuu na Yanga watakua walihongwa..ilikuwaje kagere akaruka kichwa katikati ya mabeki wote wale wanamwangalia tu kama mazezetawachezaji wa Azam siyo ninaowalenga hapa , nina mashaka na viongozi wao
Wamekutana na timu ambayo kiwango ni kikubwa kuliko wao, kiwango cha Azam ni Coastal, Ruvu na KMC.Yaaha hata Mimi nashangaa
inakuaje azam Leo kacheza fyongoooo
Kuna walakini mahali
mjomba mimi siyo yanga .Mkuu na Yanga watakua walihongwa..ilikuwaje kagere akaruka kichwa katikati ya mabeki wote wale wanamwangalia tu kama mazezeta
yale ni magarasa yasiyostahili hata kuwemo uwanjaniRafiki zangu Chirwa na Ngoma hawajalipwa pesa zao nini?
Ila ni gongowazi a.k.a vyuraa fcmjomba mimi siyo yanga .
MkuuMpaka hivi sasa Simba inaongoza kwa magoli 3-1 , lakini kwa namna timu ya Azam inavyocheza ni dhahiri iko chini ya kiwango mno ! ni lazima kuchunguza ili kujiridhisha kama hakuna mchezo mchafu , tumeingia kuangalia soka si kuangalia vituko , Hii si Azam tunayoijua.
Pamoja na kwamba mimi ni mwana simba lakini kiukweli tunahitaji ushindi usio na mawaa ili timu yetu isibweteke .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO .
Binafsi sioni haja ya kuwachunguza, ila itoshe kuamini kuwa mechi ya Leo kuna namna.Mpaka hivi sasa Simba inaongoza kwa magoli 3-1 , lakini kwa namna timu ya Azam inavyocheza ni dhahiri iko chini ya kiwango mno ! ni lazima kuchunguza ili kujiridhisha kama hakuna mchezo mchafu , tumeingia kuangalia soka si kuangalia vituko , Hii si Azam tunayoijua.
Pamoja na kwamba mimi ni mwana simba lakini kiukweli tunahitaji ushindi usio na mawaa ili timu yetu isibweteke .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO .
Hahahaha maana hawazi ya simba anawaza ya yanga
Mara ya mwisho wameshinda mechi ganiYaaha hata Mimi nashangaa
inakuaje azam Leo kacheza fyongoooo
Kuna walakini mahali
Kama kweli unawajua Azam vizuri nipe matokeo ya mechi zao tano zilizopitawachezaji wa Azam siyo ninaowalenga hapa , nina mashaka na viongozi wao
Huyu jamaa ni Simba na wala sio YangaHvi watu wa Yanga mna matatizo gani? ?Kufungwa wafungwe Azam malalamiko mtoe nyie!!!
Kweli nyie wa kulia lia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajui anachokisimamia...Mpira umechezwa uwanjani na wote tumeuona..Mashaka yanatokea wap?Huyu jamaa ni Simba na wala sio Yanga
Kuteleza si kuanguka , Simba kumtandika Mwarabu kwao - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilipofungwa na lipuli ulikuwa wapi?Mpaka hivi sasa Simba inaongoza kwa magoli 3-1 , lakini kwa namna timu ya Azam inavyocheza ni dhahiri iko chini ya kiwango mno ! ni lazima kuchunguza ili kujiridhisha kama hakuna mchezo mchafu , tumeingia kuangalia soka si kuangalia vituko , Hii si Azam tunayoijua.
Pamoja na kwamba mimi ni mwana simba lakini kiukweli tunahitaji ushindi usio na mawaa ili timu yetu isibweteke .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO .
Wewe jamaaa kama sio yanga ila unazuga simba basi lazima kunq siku ulitaka kugombea uongozi ktk simba wakakuchinjia baharini.Mpaka hivi sasa Simba inaongoza kwa magoli 3-1 , lakini kwa namna timu ya Azam inavyocheza ni dhahiri iko chini ya kiwango mno ! ni lazima kuchunguza ili kujiridhisha kama hakuna mchezo mchafu , tumeingia kuangalia soka si kuangalia vituko , Hii si Azam tunayoijua.
Pamoja na kwamba mimi ni mwana simba lakini kiukweli tunahitaji ushindi usio na mawaa ili timu yetu isibweteke .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO .