Game ya Azam vs Simba ichunguzwe

Game ya Azam vs Simba ichunguzwe

Wachunguze na gemu ya simba na Yanga kwanza...Yanga walihongwa or walilogwa sababu walikuwa wanacheza kama mazezeta
 
mjomba tatizo si matokeo , shida ni kiwango na uchezaji wa Azam kwa ujumla , hawakuja kushindana kabisa !
Uwezo wa Azam ndio huo uliouona Leo na ndio wanacheza hivyo mechi zao zaidi ya 7 zilizopita.
 
Rafiki zangu Chirwa na Ngoma hawajalipwa pesa zao nini?
 
Mpaka hivi sasa Simba inaongoza kwa magoli 3-1 , lakini kwa namna timu ya Azam inavyocheza ni dhahiri iko chini ya kiwango mno ! ni lazima kuchunguza ili kujiridhisha kama hakuna mchezo mchafu , tumeingia kuangalia soka si kuangalia vituko , Hii si Azam tunayoijua.

Pamoja na kwamba mimi ni mwana simba lakini kiukweli tunahitaji ushindi usio na mawaa ili timu yetu isibweteke .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO .
Mkuu

Natamani ungeomba Pia ile game ya man city Vs Chelsea ichunguzwe.... Maana Chelsea walicheza hovyo kabisa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka hivi sasa Simba inaongoza kwa magoli 3-1 , lakini kwa namna timu ya Azam inavyocheza ni dhahiri iko chini ya kiwango mno ! ni lazima kuchunguza ili kujiridhisha kama hakuna mchezo mchafu , tumeingia kuangalia soka si kuangalia vituko , Hii si Azam tunayoijua.

Pamoja na kwamba mimi ni mwana simba lakini kiukweli tunahitaji ushindi usio na mawaa ili timu yetu isibweteke .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO .
Binafsi sioni haja ya kuwachunguza, ila itoshe kuamini kuwa mechi ya Leo kuna namna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Azam uwezo umeshuka sana, juzi tu kasumbuliwa sana hapo Tanga. Ukitaka kuisumbua simba paki basi cheza counter
 
Mpaka hivi sasa Simba inaongoza kwa magoli 3-1 , lakini kwa namna timu ya Azam inavyocheza ni dhahiri iko chini ya kiwango mno ! ni lazima kuchunguza ili kujiridhisha kama hakuna mchezo mchafu , tumeingia kuangalia soka si kuangalia vituko , Hii si Azam tunayoijua.

Pamoja na kwamba mimi ni mwana simba lakini kiukweli tunahitaji ushindi usio na mawaa ili timu yetu isibweteke .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO .
Ilipofungwa na lipuli ulikuwa wapi?
 
Ukiacha kupaki basi kwa Simba lazima ulie.Wao wanafikiri Zahera mjinga kucheza na walinzi 9??
 
Mpaka hivi sasa Simba inaongoza kwa magoli 3-1 , lakini kwa namna timu ya Azam inavyocheza ni dhahiri iko chini ya kiwango mno ! ni lazima kuchunguza ili kujiridhisha kama hakuna mchezo mchafu , tumeingia kuangalia soka si kuangalia vituko , Hii si Azam tunayoijua.

Pamoja na kwamba mimi ni mwana simba lakini kiukweli tunahitaji ushindi usio na mawaa ili timu yetu isibweteke .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO .
Wewe jamaaa kama sio yanga ila unazuga simba basi lazima kunq siku ulitaka kugombea uongozi ktk simba wakakuchinjia baharini.
Wewe ni kuipondaga tu simba na uongozi wake.
 
Back
Top Bottom