NetworkEngineer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,952
- 1,181
Kumbe,unaweza kuwataja hao walinzi 9 mkuu,au hadi washambuliaji walicheza kama walinzi??Ukiacha kupaki basi kwa Simba lazima ulie.Wao wanafikiri Zahera mjinga kucheza na walinzi 9??
Hapana mkuu , japo sielewi kwanini Swedi Nkwabi amekuwa kiongozi wa Simba lakini sina kinyongo chochoteWewe jamaaa kama sio yanga ila unazuga simba basi lazima kunq siku ulitaka kugombea uongozi ktk simba wakakuchinjia baharini.
Wewe ni kuipondaga tu simba na uongozi wake.
Golikipa nae huwa Ana paki basi???Kabwili,Paul,Mbaga,Vincent,Abdala Shaibu,Yondani,Tshishimbi na Ajibu.Wote hao walikuwa wana paki basi.Zahera sio mjinga.
Chura mkubwa unatapatapa nini hakuna mwanasimba mjinga na mpumbavu kama wewe timu imefunga al ahly, js saoura, vyura wa jangwani sembuse kiazam?Mpaka hivi sasa Simba inaongoza kwa magoli 3-1 , lakini kwa namna timu ya Azam inavyocheza ni dhahiri iko chini ya kiwango mno ! ni lazima kuchunguza ili kujiridhisha kama hakuna mchezo mchafu , tumeingia kuangalia soka si kuangalia vituko , Hii si Azam tunayoijua.
Pamoja na kwamba mimi ni mwana simba lakini kiukweli tunahitaji ushindi usio na mawaa ili timu yetu isibweteke .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO .
Kwani golikipa kazi yake nini?Kuzuia au kushambulia?
Al Hali nao wamepewa Hela wale wapuuzi.. As Vita nao watapewaa helaa wajinga hawA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wabongo bhnaa...Me naona ya Leo haina shida mana mpira wamemiliki sana Azam, mimi wasi wasi wangu ni Mechi dhidi ya Yanga, nina wasiwasi kwamba Yanga wamepewa hela ili wafungwe na Simba, haiwezekani Yanga iliyobora kabisa na inaongoza ligi ikafungwe na Simba hii Mbovu, ambayo iko nafasi ya 3 hii imeniuma sana Mimi kama Mashabiki na Mwanachama hai Yanga. View attachment 1029599
Sent using Jamii Forums mobile app
Hufanya kazi ya utingo