Game ya Azam vs Simba ichunguzwe

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sasa kama azam kabla ya kucheza na simba alikua kacheza mechi 4 bila kushinda ulitegemea amfunge simba?

Azam alizidiwa uwezo na anazidiwa uwezo

Hapa Tanzania hakuna timu inayoweza kuizidi simba uwezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo Yanga wanajua watapoteza mechi kwa Azam kwa kuwa Azam ni timu kali sana ambayo haistahili kufungwa na Simba
 
Nimekimbilia Kusoma nikijua kuna cha maana kumbe n shabik uchwara kaandika uharo wake
 
Tuanzie game la Yanga na simba, haiwezekani kagere afunge goli katikati ya mabeki uku mabeki wa Yanga na kipa wao wanatazama tu.hawa alikina Yondani waliuza mechi.

Sent using Jamii Forums mobile app
100% sina imani Na Yondani..sijawahi kuona akipitwa vile bila ya kucheza rafu..hawa wachezaji waliocheza zote mbili majanga..reference Dida Na Barthez
 
Hao achana nao ni ndugu,jiulize Bakharesa kaumizwa na matokeo?
 
Pole, hivi lini mtaanza kuvua wale vyura?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Tui
Mkuu golikipa ni sehemu ya basi likipakiwa tena yeye ndio mlango.Golikipa ni sehemu ya defensive mechanism.Kazi yake kuu ni kuzuia ambayo ndio dhana ya ku defend.
Au umekereka kusema wamecheza na walinzi 9 haya basi wamecheza na walinzi 8 Kabwili hakuwepo.
 
simba wananunua mechi
Wamenunua mechi za Al Ahly na Yanga???
Uvivu wa kufikiri kila mkifungwa mnatafuta visingizio.
Yanga mmecheza na walinzi 8 kupunguza magoli mnashangaa wenzenu kufungwa!!!!
 
Huko Lindi makomandoo wanne wa Chura walinyimwa kuzika hirizi na meneja wa uwanja.Vurugu kubwa zikatokea. Hao makomandoo wapo ndani wanasaidia polisi.
 
Hatimaye uzi huu umesababisha waliohusika kutimuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…