Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,141
- 3,838
Mpaka hivi sasa Simba inaongoza kwa magoli 3-1 , lakini kwa namna timu ya Azam inavyocheza ni dhahiri iko chini ya kiwango mno ! ni lazima kuchunguza ili kujiridhisha kama hakuna mchezo mchafu , tumeingia kuangalia soka si kuangalia vituko , Hii si Azam tunayoijua.
Pamoja na kwamba mimi ni mwana simba lakini kiukweli tunahitaji ushindi usio na mawaa ili timu yetu isibweteke .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO .
Kwanza nikuulize, hivi umeangalia mechi za Azam za nyuma angalau hata mbili hivi!? Umepima perfomance yake!? Kuna utofauti gani na mechi waliyocheza na Simba!?
Sent from my iPhone using JamiiForums