Game ya Simba na yanga iliyopangwa 11 December kusogezwa mbele?

Game ya Simba na yanga iliyopangwa 11 December kusogezwa mbele?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Nimelala nikaota ndoto game ya Simba na yanga imesogezwa mbele na haitachezwa tarehe 11 mwezi 12 Kama ilivyopangwa kwenye ratiba.

Hapo ndio uwa najiuliza tff wanafanyaje kazi zao kwanini hawapangi ratiba Bora isiyoyumba ?

Nani anasogezewa mbele kipigo?
 
Back
Top Bottom