Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Jee kama inapigwa Chamazi CCTV Camera zitakuwepo?
Gemu itaanza saa kumi na Moja. Ikifika saa Moja itabidi taa za uwanjani ziwashwe, jee wataendelea kumzimia taa yule mchezaji aliyelogwa ili asifunge goli?
Yale mavitu yatakuwepo ama watajidunga huko huko ili asinaswe na kamera?
Gemu itaanza saa kumi na Moja. Ikifika saa Moja itabidi taa za uwanjani ziwashwe, jee wataendelea kumzimia taa yule mchezaji aliyelogwa ili asifunge goli?
Yale mavitu yatakuwepo ama watajidunga huko huko ili asinaswe na kamera?