Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Bingwa wa kujidungazππYanga bingwa ππ₯
Hope you get back on your feet soon bro.Yanga bingwa ππ₯
Hata kuwsdunga nyieBingwa wa kujidungazππ
ππ€£π Wacha niwavuruge kidogo makoloHope you get back on your feet soon bro.
Hizi akili za Mzee Mpili zitakutoka lini?ππ€£π Wacha niwavuruge kidogo makolo
Wakose amani hata kama wanaongoza ligi
Jee kama inapigwa Chamazi CCTV Camera zitakuwepo?
Gemu itaanza saa kumi na Moja. Ikifika saa Moja itabidi taa za uwanjani ziwashwe, jee wataendelea kumzimia taa yule mchezaji aliyelogwa ili asifunge goli?
Yale mavitu yatakuwepo ama watajidunga huko huko ili asinaswe na kamera?
Ndicho mnachojifariji sasa hivi masikiniππ€£π Wacha niwavuruge kidogo makolo
Wakose amani hata kama wanaongoza ligi
π π€£πHakuna kuwapa chanceHizi akili za Mzee Mpili zitakutoka lini?
ππππ
You aint gona be able to do what you wanna do broπππ€£π Wacha niwavuruge kidogo makolo
Wakose amani hata kama wanaongoza ligi
Yanga laZima amfunge koloNdicho mnachojifariji sasa hivi masikini
Hivi huwa wanatumia Syringe za kuchomea Ng'ombe?Hata kuwsdunga nyie
Tunawasisitiza siku ya mechi trh 8 bebeni dawa zenu za kisukari na pressure ya kupandaHivi huwa wanatumia Syringe za kuchomea Ng'ombe?
Mechi ya maana mlishindwa kufunga goli moja tu muende robo fainali, mko bize kusingizia Azam wanawahujumu Chamazi.Tunawasisitiza siku ya mechi trh 8 bebeni dawa zenu za kisukari na pressure ya kupanda
Maana laZima mnara usome 5G