Gaming Act inaruhusu watu wazima kucheza kamari. Sasa mbona Waziri Mkuu anamzuia huyu jamaa?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Your browser is not able to display this video.

Waziri Mkuu amemuonya mtumishi wa umma kuacha kucheza kamari kwa kuwa muda wote ataliwa tu. Atachukua mikopo benki na bado ataendelea kuliwa ambapo ataingiwa na msongo wa mawazo.

Amempata kazi mtumishi mwingine kumfuatilia mtumishi huyo
 
Gaming Act inaruhusu Addiction ?

Lakini hizi ni Siasa wanashindwa nini kupunguza / kutoa matangazo ya Kamari kwenye vyombo mpaka pale usiku wakati minors wamelala ? Au sababu Serikali inachukua takribani asilimia 15 kwa kile anayeshinda ?

Yaani unatangazia watoto kila dakika kuhusu kamari na kila mtaa hata minors wanashiriki alafu.... !!!!!
 
Waanze na sheria ya kuzuia SMS za kamari. Niliwahi kuwapigia mtandao mmoja na kuwataka wasinitumie SMS zao za kamari lakini hawakomi.

Siku hizi hadi TV ya taifa inahamasisha kamari. Vijana wa shule ni wataalamu wa kusuka mikeka kuliko mipango ya kujibidiisha kwenye mambo yenye tija kama soft skills.
 
Inasikitisha sana
 
Kamari ni mbaya sana,hauendelei hasahasa kama kipato chako ni kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…