MKAPA afumaniwa guest mbagala; ukisoma ndani kumbe ni bwana Hamisi Juma Mkapa mmakonde mmoja kutoka nanjilinji huko ndiye alutefumaniwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha magazeti ya Alaasiri na Dar Leo...
Utakutwa kichwa cha habari "OSAMA AKAMATWA"!.
Ukisoma ndani kumbe aliyekamatwa ni bwana Husein Sharif a.k.a OSAMA wa Mtoni kwa Azizi Ali!!!.
Kwanza kocha hakusema maneno hayo, yule ni professional hawezi kutoa kauli za aina hii. Mleta uzi kaamua tu kununua ugomvi na mashabiki wa Simba kwa kuwakeraNi suala la muda tu . Ngoja hao vijana wa simba wapate muunganiko hayo maneno atayasema akiwa na mabegi uwanja wa ndege wa Julius akirudi kwao baada ya kibarua kutota
Naunga mkono hojampira wa africa bado upo chini sana yanga wanatimu ya kawaida sana sema kelele za vyombo vya habari ni nyingi sana
Timu ya Uingereza huwa ni kawaida sana lakini kelele za vyombo ni nyingi vile vile. Yanga kuwa na timu ya kawaida au sio ya kawaida sio jibu linaloweza kupatikana kwa sasa bali katikati ya msimu. Sijui wewe unetumia kipimo gani kutoa majibu kuwa ni timu kawaidampira wa africa bado upo chini sana yanga wanatimu ya kawaida sana sema kelele za vyombo vya habari ni nyingi sana
Sio gori ni goli em jifunze kutofautisha kati ya L na RAzam akipigiwa mpira alopigiwa Simba juzi anafungwa gori nyingi sana
That means only Azam ndo kipimo sahihi zaid ya simbaKwanza kocha hakusema maneno hayo, yule ni professional hawezi kutoa kauli za aina hii. Mleta uzi kaamua tu kununua ugomvi na mashabiki wa Simba kwa kuwakeraView attachment 3066180
Ahaa kumbeAzam niliyoiona juzi hamna kitu Wala asiogope, kunamakosa kibaoo walikua wanafanya kwa wachezaji kama Dube,Aziz K, Pacome,max na Abuya fundiiiiii[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]. Azam watakula 4.
Alisikika mlevi mmoja kwenye club ya gongo iliyopo buguruni,akisema maneno hayo alikuwa kashajinyea kwa muharompira wa africa bado upo chini sana yanga wanatimu ya kawaida sana sema kelele za vyombo vya habari ni nyingi sana
Amependa kuanza ligi baada ya kucheza mechi ngumu mbili za mfululizo. Kwamba mechi hizo zimempa nafasi ya kupima kikosi chake kabla ya kuanza kwa ligi.“Napenda kucheza aina hii ya mechi, tumecheza na Simba sasa Azam ni kipimo sahihi kuelekea msimu mpya, tumekuwa na mwendelezo mzuri tokea tumecheza fainali Zanzibar, napocheza na wapinzani wagumu basi unaimarisha zaidi kikosi chako kiushindani, nina matumaini kesho tutacheza vizuri” Kocha Mkuu Miguel Gamondi kuelekea mchezo wa fainali #ngaoyajamiii dhidi ya Azam Fc.
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
Je unakubaliana na suala hili la master gamond????View attachment 3066065
Na wamechezea 4Azam niliyoiona juzi hamna kitu Wala asiogope, kunamakosa kibaoo walikua wanafanya kwa wachezaji kama Dube,Aziz K, Pacome,max na Abuya fundiiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Azam watakula 4.
Gamond ni msomi, hajawahi kuwa na tabia za ngumbaru ya kudharau timu nyingine. Ila kwa thread hii amepakwa tope, kwa tafsiri potofu akisingiziwa kuwa na tabia hiyo.“Napenda kucheza aina hii ya mechi, tumecheza na Simba sasa Azam ni kipimo sahihi kuelekea msimu mpya, tumekuwa na mwendelezo mzuri tokea tumecheza fainali Zanzibar, napocheza na wapinzani wagumu basi unaimarisha zaidi kikosi chako kiushindani, nina matumaini kesho tutacheza vizuri” Kocha Mkuu Miguel Gamondi kuelekea mchezo wa fainali #ngaoyajamiii dhidi ya Azam Fc.
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
Je unakubaliana na suala hili la master gamond????View attachment 3066065