MKAPA afumaniwa guest mbagala; ukisoma ndani kumbe ni bwana Hamisi Juma Mkapa mmakonde mmoja kutoka nanjilinji huko ndiye alutefumaniwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha magazeti ya Alaasiri na Dar Leo...
Utakutwa kichwa cha habari "OSAMA AKAMATWA"!.
Ukisoma ndani kumbe aliyekamatwa ni bwana Husein Sharif a.k.a OSAMA wa Mtoni kwa Azizi Ali!!!.