Gamondi ameonyesha kuiogopa Simba

Gamondi ameonyesha kuiogopa Simba

Nyuma mwiko wanatetemeka wote. Kama alivyosema Manara kuwa kwenye nguo zao za wapi zimejaa nini
 
Sawa Gamondi anaiogopa simba, tumekubali. Robertinho pia alimfunga gamondi ndio maana Robert akapandishwa cheo simba. Na bila kusahau mambo yaliyofanyika nyuma ya pazia kwa sababu ili yanga ashinde lazima mambo yafanyike nyuma ya pazia ndio maana ulkula 7-2 kwenye ligi na mwaka wa 3 huu unatoka kapa kwenye kila kombe
Unavyoandika utadhan yanga tokea iundwe inachukua makombe tu.

Hebu tafakari na vipigo yanga alivyovipata toka kwa Simba.
 
Kama umri ndio kigezo cha kushinda utakuwa disapointed sana baada ya mechi... mkiingia na mentality ya mikimbio yenu ya kasi nakuambia mkidhania mnacheza na APR litawakuta kubwaaa...Kwa jicho la ufundi kile kikosi chenu cha kwanza zidi ya APR kinaweza kumpa changamoto Yanga kuliko kile kilichoingia mara ya pili
Unadhani utapoteza watu maboya kwa ushauri huo wa kinafki. Hamtaki kabisa kumsikia Debora

2) naomba uje ueleze mpango upi wa nyuma wa pazi kisha uje na uthibitisho unaonesha huo mpango, usilete uongo hapa jukwaani kisa usimba wako.

3) Unauliza ngao mnaitaka unamuliza kocha au mashabiki? Kama kocha basi alishaelezea mapema kabisa kuwa focus yake ni kutetea makombe aliyotwaa ikiwemo ligi kuu na FA na kufanya vizuri michuano ya CAF kwa kuvuka hatua aliyoishia msimu uliopita.

4) Robertinho si alifukuzwa kwasababu ya huyo huyo Gamondi? Sasa hiyo nguvu ya kusema Robertinho alimfunga Gamondi unaitoa wapi?
5) hakuna shabiki wa Yanga anayeingia na hofu juu ya mchezo wa kesho kwasababu kwa anayejua mpira na aliyefuatilia mechi ya tarehe 3 na tarehe 4 unaona kabisa Yanga ni timu ila Simba bado haijawa timu ndio inajengwa kuwa timu. Ule mchezo dhidi ya Red arrows hakuna mwana Yanga ambaye ataingiwa na uoga kwasababu ilikuwa ni positive sign kwa Yanga kwa upande wa performance, kipa wa Red Arrows ndiye shujaa.
2. Unavyopendaga kudai uthibitisho, unataka watu wawe wanaleta ushahidi wa SMS na voice notes hapa jukwaani? Embu kua basi kidogo.

3. Huwa mnadai mechi hamna mipango nayo ila mkisawazisha mbona huwa mnawahi mpira kuupeleka kati?

4. Point yangu ni kwamba Gamondi anafungika kama alivyo kocha mwingine yoyote.

Sawa... Tufanye Simba kaugundua ujanja wa yanga na kashashinda mechi.......kesho tunangoja kutimiza dk tisini tushangilie au Sio mwanangu
Sahihi kabisa mwanangu

Mda si mrefu baada ya mechi mtaanza kuyatafuta maduka.
Maduka yalishafungwa labda kama mmeanza juhudi za kufungua maduka mapya

Huwa nakuamini lakini hapa umefanya analysis ya kitoto mno.
1.Mechi ya majaribio kuingiza timu mpya kipindi cha pili inakuwaje kuficha kikosi, ni mara ya Kwanza kufanya hivyo?
2.Namna ya ufungaji magoli inakuja automatically baada ya build up, set up au rebound, inakuwaje tena iwe kuiga magoli ya timu pinzani?
3.
1. Nimewaquote wachambuzi na watu mbalimbali wanaosema Gamondi ni master wa kuficha mbinu na wanatumia mfano wa mechi ile kwa jinsi alivyopanga kikosi.

2. Ukiangalia magoli aliyokuwa anajaribu kufunga Dube katika mechi nzima utaona kuna mtu, labda Ally Kamwe alimwambia ajaribu kumfunika Fernandez, matokeo yake akipata mpira anapaisha.

Umemaliza Kila kitu Kama ajaelewa atakuwa na matatizo binafsi, hoja zake amejenga za kitoto sana mpira sio mbio mpira una njia zake kiufundi ingekuwa ni kasi basi kina ussain bolt wangekuwa wanasajiliwa kwenye Kila timu, na magoli yanakuja kutokana na combination ya wachezaji uwanjani na sio umri aliyewaroga mbumbumbu ni Kama vile alishafariki!
Kwa hiyo mnabadili gia angani, umri siyo tena kigezo cha ubora wa timu?
 
Unadhani utapoteza watu maboya kwa ushauri huo wa kinafki. Hamtaki kabisa kumsikia Debora


2. Unavyopendaga kudai uthibitisho, unataka watu wawe wanaleta ushahidi wa SMS na voice notes hapa jukwaani? Embu kua basi kidogo.

3. Huwa mnadai mechi hamna mipango nayo ila mkisawazisha mbona huwa mnawahi mpira kuupeleka kati?

4. Point yangu ni kwamba Gamondi anafungika kama alivyo kocha mwingine yoyote.


Sahihi kabisa mwanangu


Maduka yalishafungwa labda kama mmeanza juhudi za kufungua maduka mapya


1. Nimewaquote wachambuzi na watu mbalimbali wanaosema Gamondi ni master wa kuficha mbinu na wanatumia mfano wa mechi ile kwa jinsi alivyopanga kikosi.

2. Ukiangalia magoli aliyokuwa anajaribu kufunga Dube katika mechi nzima utaona kuna mtu, labda Ally Kamwe alimwambia ajaribu kumfunika Fernandez, matokeo yake akipata mpira anapaisha.


Kwa hiyo mnabadili gia angani, umri siyo tena kigezo cha ubora wa timu?
Umri ni nyongeza tu kwenye mbinu za kiufundi, naona mmekaririshwa mambo ya umri na mmeingia kwenye mfumo, ata mtibwa sugar wanasajili wachezaji wa umri mdogo na Sasa wako wapi? Mbona awabebi makombe? Rudi kule ulaya Chelsea na Barcelona walijaribu izo project vipi waliishia wapi Kama umri ndio kushinda mechi ama makombe? Na arsenal je waliishia wapi na vijana wao wadogo? Ina maana Simba mnamtaka kutuambia mmesajili wachezaji Bora wa umri mdogo kuliko Arsenal ama Chelsea? Acheni uzwazwa na kujazwa vitu ambavyo avina mantiki!
 
Hofu itoke wapi wakati nina kikosi cha Ultra Sound, cha kupima watu umri.

Kuingia kwenye boksi wataingia, ila kufunga aaaah.
1722945397551.jpg
 
Umemaliza Kila kitu Kama ajaelewa atakuwa na matatizo binafsi, hoja zake amejenga za kitoto sana mpira sio mbio mpira una njia zake kiufundi ingekuwa ni kasi basi kina ussain bolt wangekuwa wanasajiliwa kwenye Kila timu, na magoli yanakuja kutokana na combination ya wachezaji uwanjani na sio umri aliyewaroga mbumbumbu ni Kama vile alishafariki!
1722608190360.jpg
 
Total Matches:43

Simba wins 11 (26%)

Draw17 (40%)

Yanga wins 15 (35%
Sasa hizo takwimu ndiyo za kuambatanisha na kauli uliyotoa kuwa "Simba ndio timu iliyopigwa mara nyingi zaidi na Yanga nchini"?
 
Hofu itoke wapi wakati nina kikosi cha Ultra Sound, cha kupima watu umri.

Kuingia kwenye boksi wataingia, ila kufunga aaaah.
Twendeni Sawa Hapa..👇

Wazee FC Vs Vijana FC
1.Diarra(29yrs)
1.Ayoub(29yrs)

2.Yao(27yrs)
2.Kapombe(29yrs)

3.Boka(24yrs)
3.Zimbwe(29yrs)

4.Bacca(24yrs)
4.Karaboue(24yrs)

5.Job(23yrs)
5.Malone(25yrs)

6.Aucho(30yrs)
6.Ngoma(30yrs)
6.Mkude(30yrs)
6.Awesu(30yrs)

7.Nzengeli(24yrs)
7.Mutale(22yrs)
7.Abuya(27yrs)
7.Kibu(29yrs)

8.Muda(28yrs)
8.Debo(24yrs)😂
8.Pacome(27yrs)
8.Muzamiru(32yrs)

9.Dube(27yrs)
9.Mukwala(30yrs)
9.Baleke(23yrs)
9.Fred(25yrs)

10.Aziz Kii(28yrs)
10.Jean(22yrs)
10.Mzize(20yrs)
10.Chasambi(20yrs)

11.Chama(32yrs)
11.Balua(24yrs)

Unajipa moyo bado unaenda kupima watu umri?
 
Back
Top Bottom