Tatizo huwa munajipiga dole wenyewe alafu mnajinusa wenyewe.Mtatukanana sana.Bado hamjasema.
Na washambuliaji kazi yao ni nini?Mpira hujui wewe nenda tu kashabikie rede au uendelee kupika pika. Hao mabeki kazi yao nini? Eti tumebebwa na beki. Unatia aibu bora ukae kimya tu
Wewe ndio mjinga namba mojaTatizo huwa munajipiga dole wenyewe alafu mnajinusa wenyewe.
Huyo mpuuzi mwenzio (Mleta post) sio mwana Yanga, ila kwakua kafarijika na kilicho tokea jana kaamua kujifariji kwa njia hiyo.
Ndio maana nikamjibu kikofu, wala sikua na nia ya kumtukana........kwanza kutukana ni dhambi.
Nimegundua huyo jamaa ni katoto cha 2000s, ama la sivyo kaanza kushabikia mpira baada ya Azam kuanza kurusha matangazo ya mpira mubashara.Mpira hujui wewe nenda tu kashabikie rede au uendelee kupika pika. Hao mabeki kazi yao nini? Eti tumebebwa na beki. Unatia aibu bora ukae kimya tu
ππππHersi afuatilie, tunayemtumaga hakufikisha mzigo
π€£π€£π€£π€£π€£Msize ndo nani?
kipigo Cha jana kimewachanganya!
Hiyo sio ishu ndio maana inaitwa timu, pamoja na hao kutokuwa na magoli timu imeshinda michezo mingapi msimu huu kwenye mashindano yote? Timu imepoteza mchezo mmoja pekee na ndio timu inayoongoza ligi kwasasa. Je hao wenye magoli mengi wameisaidia nini timu zao hadi sasa?Dube +Mzize+Musonda +Baleke= Bacca mwenye goli 2
Pacome+chama+Aziz key=0000.002
Unakuta huyu ni mwenyekiti wa mtaa fulani π€£Pamoja na Yanga kuwa pungufu lakini Azam walikutana na upinzani utafikiri wanacheza na timu isiyopungufu. Halafu mtu anaropoka eti Gamondi anaua vipaji
ππ€£π€£π€£π€£π€£
Anatia aibu yaani anayojibu ndio kabisa anajionesha jinsi alivyokuwa hajui mpira.Nimegundua huyo jamaa ni katoto cha 2000s, ama la sivyo kaanza kushabikia mpira baada ya Azam kuanza kurusha matangazo ya mpira mubashara.
Kwanza huyo sio shabaki wala mwanachama wa Yanga.
weupe kichwani hajui chochoteAnatia aibu yaani anayojibu ndio kabisa anajionesha jinsi alivyokuwa hajui mpira.
Kufungwa Mechi Moja tu tayari mmeshaanza kutoa milio.
Bado hamjasema,mpaka mseme mganga anayewaambia Kila siku mpite milango ya uani pale Benjamin mkapa ni nani.
Mavi ya kale hayanuki. Yanga hii unaifungaje ππView attachment 3142430
Muanzisha uzi ni kilo mwenzako,Yanga wenyewe tumechukulia matokeo kimpira zaidi,kwenye soka kuna kufungwa pia hauwezi kushinda kila siku
Unaifunga ikiwa pungufuMavi ya kale hayanuki. Yanga hii unaifungaje ππ
Kolo si ukamkosoe Fadlu.Wewe ndio mjinga namba moja
Huyo kocha asikosolew kama nan
Max alifanya vizuri walipo cheza na mamelodi alikuwa anakaba vizuriTatzo sio kubadilishiwa nafasi
Tatzo linakuja mchezaji akishindwa kuperfom vizuri
Mfano Leo kawa beki kesho winga kesho kutwa kiungo kama anavyofanya kwa max
Sio mechi ya Jana tu, mlete Uzi yupo sawa nisaidie mm ambaye sijui Mpira Quality ya azizi ki aliyeifunga mamelodi ndio hii!! Quality ya Pacome aliyeifunga al ahly ndio hii ?Mashabiki wa bongo ni vilaza, mtu kapoteza game Moja tena akiwa pungufu ila Leo mnajifanya mnajua kuliko yeye
Kuna mtu nilimwambia timu kama man u ingekua bongo huyo ten hag watu wangemuua uwanjani
Dube namuana anacheza kama winga ya kushoto na kulia hapo vipiMax alifanya vizuri walipo cheza na mamelodi alikuwa anakaba vizuri