Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Dogo. Mbona tunashinda tu? Haya yameanza lini? Tukiwakanda Simba mnanyamaza. Tukipoteza kila kitu kibaya.nyie mmeanza ishabikia yanga kipindi cha hersi mna shida sana.Nkane kutoka winga kawa beki
Aziz andambwile kutoka kuwa kiungo kawa beki
Max nzengeli kawa kama kiungo mkabaji
Duke abuya kutoka eneo la kiungo kawa beki
Msize haeleweki anacheza namba gani
Kibwana haaminiki tena
Hapo kuna wachezaji viwango vime_drop
Kina Aziz key, PACOME, musonda, yao yao na wengne wengi
HAKUNA MGOMO WOWOTE WE NYAU.Gamondi anaharibu kila kitu pale Yanga la sivyo kuna mgomo baridi
Nikutoa heshima kwa Azam asitafutwe mchawi hakuna mgomoGamondi anaharibu kila kitu pale Yanga la sivyo kuna mgomo baridi
Akuna hoja hapo ya kujadili na wewe maana ushaonyesha ni mweupe kichwani, kama unalalamikia wachezaji kucheza zaidi ya nafasi Moja uwanjani unataka tujadili hoja Gani na wewe hapo! Unaona ajabu mchezaji kucheza zaidi ya namba Moja uwanjani ujawai ona kabisa tokea uzaliwe!Jadili hoja matusi pelekea mkeo pumbv
😅😳😳😂😂😊😊😀😀😁🤓🤓 kalala since yesterday
YAni uvumilivu zeroMashabiki wa bongo ni vilaza, mtu kapoteza game Moja tena akiwa pungufu ila Leo mnajifanya mnajua kuliko yeye
Kuna mtu nilimwambia timu kama man u ingekua bongo huyo ten hag watu wangemuua uwanjani
HuelewekiAkuna hoja hapo ya kujadili na wewe maana ushaonyesha ni mweupe kichwani, kama unalalamikia wachezaji kucheza zaidi ya nafasi Moja uwanjani unataka tujadili hoja Gani na wewe hapo! Unaona ajabu mchezaji kucheza zaidi ya namba Moja uwanjani ujawai ona kabisa tokea uzaliwe!
Unamfananisha bale na hawa kina mwamnyetoUliwahi kumuona GARETH BALE wa TOTTENHAM ileee ya akina JEREMINE DEFOR?
Umewahi kumuona GARETH BALE wa REAL MADRID?
Basi tuseme wewe ni mkongwe.
Je,umwahi kumuona Di Kyite wa Liverpool na yule wa wa timu ya taifa ya Netherlands?
Gamondi outHAKUNA MGOMO WOWOTE WE NYAU.
Wewe na mleta uzi wote akili zenu zinafanana. Aziz Ki na Pacome wali shine Yanga wakiwa na kocha yupi zaidi ya Gamondi? Kama Gamondi ni wa kuua vipaji basi wasinge shine hao wachezaji lakini hao wote wame shine wakiwa chini ya Gamondi kwanini leo hii lawama ziwe kwa Gamondi? Kwanini hamkuangalia factor nyingine kama vile ugumu wa ligi kuu, uchovu wa wachezaji (fitness) n.kSio mechi ya Jana tu, mlete Uzi yupo sawa nisaidie mm ambaye sijui Mpira Quality ya azizi ki aliyeifunga mamelodi ndio hii!! Quality ya Pacome aliyeifunga al ahly ndio hii ?
Hujui mpira wewe.Nkane kutoka winga kawa beki
Aziz andambwile kutoka kuwa kiungo kawa beki
Max nzengeli kawa kama kiungo mkabaji
Duke abuya kutoka eneo la kiungo kawa beki
Msize haeleweki anacheza namba gani
Kibwana haaminiki tena
Hapo kuna wachezaji viwango vime_drop
Kina Aziz key, PACOME, musonda, yao yao na wengne wengi
Leo tumeshinda 3Dogo. Mbona tunashinda tu? Haya yameanza lini? Tukiwakanda Simba mnanyamaza. Tukipoteza kila kitu kibaya.nyie mmeanza ishabikia yanga kipindi cha hersi mna shida sana.
Mzee mwamba yupo vzr anahitaji muda tu instead hizo judgement zako zibadili kuwa maombi Utakuwa umemsaidiGarasa kama dube sijui linafanya nini pale yanga?
Mechi:9
Magoli:0
Asisti:0
Kama vipi tuandamane mashabiki wa yanga.
Kwanini guede hakupewa muda halafu dube ndo apewe muda?Mzee mwamba yupo vzr anahitaji muda tu instead hizo judgement zako zibadili kuwa maombi Utakuwa umemsaidi