Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia shabiki wa Yanga analaumu wachezaji achana na jitu la hivyo! Hakuna kiwango kilichoshuka. Hivi aliona Nkane alivyocheza hiyo beki?Kufungwa Mechi Moja tu tayari mmeshaanza kutoa milio.
Bado hamjasema,mpaka mseme mganga anayewaambia Kila siku mpite milango ya uani pale Benjamin mkapa ni nani.
Ubaya wa hii mitandao bwana ni kuruhusu kila jitu kuropoka linavyoweza! Hata mataahira nayo wanaandika humu! Mechi ya jana haina cha kuwalaumu wachezaji!Mashabiki oya oya kama nyie sidhani kama ni wa yanga, type za mashabiki kama hizi uwa ziko umbumbuni uko, ujui ata unachokizungumzia na Mpira wenyewe ujui unatafuta matusi tu humu ndani!
washamba tu haoNaechi ijayo wanatoa droo,wataanza kutafutana na kutoleana mapovu muda si mrefu.
Ngoja nikupuuze tuYour husband
Nkane kutoka winga kawa beki
Aziz andambwile kutoka kuwa kiungo kawa beki
Max nzengeli kawa kama kiungo mkabaji
Duke abuya kutoka eneo la kiungo kawa beki
Msize haeleweki anacheza namba gani
Kibwana haaminiki tena
Hapo kuna wachezaji viwango vime_drop
Kina Aziz key, PACOME, musonda, yao yao na wengne wengi
Natamani nikuite choko, lakini nafsi yangu inaniambia wenda ukawa ni mama mjamzito hivyo nitakua nimekuvunjia sana heshima.Gamondi anaharibu kila kitu pale Yanga la sivyo kuna mgomo baridi
Mtatukanana sana.Bado hamjasema.Natamani nikuite choko, lakini nafsi yangu inaniambia wenda ukawa ni mama mjamzito hivyo nitakua nimekuvunjia sana heshima.
Ila kiufupi haujui mpira.
Matusi yote hayo yanini? Au gamondi mumeoNatamani nikuite choko, lakini nafsi yangu inaniambia wenda ukawa ni mama mjamzito hivyo nitakua nimekuvunjia sana heshima.
Ila kiufupi haujui mpira.
Pamoja na Yanga kuwa pungufu lakini Azam walikutana na upinzani utafikiri wanacheza na timu isiyopungufu. Halafu mtu anaropoka eti Gamondi anaua vipajiKIufupi ww hujui mpira,, watu wana red card, wachezaji wanatakiwa wazunguke kucover space tu, na mashambulizi yakianza sehemu ulipo una attack huko huko, na yanga wachezaji wengi wana uwezo huo
Sio dube tu Yanga washambuliaji wake wote wameshuka viwango kutokana na mifumo duni ya GamondGarasa kama dube sijui linafanya nini pale yanga?
Mechi:9
Magoli:0
Asisti:0
Kama vipi tuandamane mashabiki wa yanga.
Mashabiki wa bongo ni vilaza, mtu kapoteza game Moja tena akiwa pungufu ila Leo mnajifanya mnajua kuliko yeye
Kuna mtu nilimwambia timu kama man u ingekua bongo huyo ten hag watu wangemuua uwanjani
Mpira hujui wewe nenda tu kashabikie rede au uendelee kupika pika. Hao mabeki kazi yao nini? Eti tumebebwa na beki. Unatia aibu bora ukae kimya tuMimi siongelei mechi ya Jana tu.
Kuanzia mechi ya kengold Hakuna mchezo tuliocheza kwa kiwango bora
Mechi zote tumebebwa na mabeki huku washambuliaji wakiendelea kuwa butu
Mpira wa kisasa mchezaji anakuwa na uwezo wa kucheza nafasi zaidi ya moja. Ukocha ni mbinu sio kukariri tu mchezaji fulani anachezaga namba ngapi bali ni kutengeneza mbinu. Gamondi ni mchezaji anayetumia mbinu na ufundi na ndio maana unaona mchezaji anapewa jukumu fulani kulingana na mechi husika. Acha ukaririTatzo sio kubadilishiwa nafasi
Tatzo linakuja mchezaji akishindwa kuperfom vizuri
Mfano Leo kawa beki kesho winga kesho kutwa kiungo kama anavyofanya kwa max
🤓🤓 kalala since yesterday
Dube +Mzize+Musonda +Baleke= Bacca mwenye goli 2Pamoja na Yanga kuwa pungufu lakini Azam walikutana na upinzani utafikiri wanacheza na timu isiyopungufu. Halafu mtu anaropoka eti Gamondi anaua vipaji