Gamondi anahujumu timu ya Yanga

Hii game ya Leo na Tabora imethibitisha hilo
Hakuna timu duniani isiyonpoteza
Real Madrid yenyewe ndo wababe wa dunia wamepoteza juzi,mpira kuna kushinda
Kufungwa
Kutoka droo
Usimpe lawama kocha mbona akishinda humpi lawama??hata kama ni wewe kocha bacca anakadi nyekundu,dickson ana njano 3,beki aliyebaki kaumia kipindi cha kwanza ebu niambie ungefanyaje na hapo umetoka kucheza mechi ngumu kama ya simba,coastal,singida na azam wachezaji wanamchoko wa haja mda mwingine muwe mnafikiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…