Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Usijifariji kupitia Simba, umia kivyako. Kwanza Simba hajapoteza mechi mbili (tena mfulilizo)Ila kufungwa kunauma jamani..! Hongereni Simba kwani mmeshazoea Hali hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijifariji kupitia Simba, umia kivyako. Kwanza Simba hajapoteza mechi mbili (tena mfulilizo)Ila kufungwa kunauma jamani..! Hongereni Simba kwani mmeshazoea Hali hii.
Kesho mbali 😂Tayari pameshaanza kuchangamka bwawani kwenye thupuView attachment 3146336
Hawa hawana vifua kama simba. Misimu mitatu mfululizo Tena na vipigo juu kutoka kwa uto lakini tumesimama imara,wao mechi ya pili hii tayari wanaanza kushikana uchawi.Kesho mbali 😂
Wanafikiri Yanga ni kama Simba kutwa kutafuta mchawi.Ancelotti anaihujumu Madrid, Arteta anaihujumu Arsenal na hadi Guardiola anaihujumu Man City.
Gamondi hajafika Leo,kachukua ubingwa mara 3 mfululizo,yanga kuba shida ktk uongozi,mwanzoni tulishauli wale WOTE waliomsaidia kupata ubingwa injinia asiwaache,timu ya ushindi huwa haibadilishwi.Ana wachezaji wazuri anashindwa kuwatumia..combination ya Sub zake hajui nani na nani wacheze na nani atoke..
Hapa kinakosekana kipande cha sigara tu ambacho hakijazima.Hawa hawana vifua kama simba. Misimunmitatu mfululizo Tena na vupigo juu kutoka kwa uto lakini tumesimama imara,wao mechi ya pili hii tayari wanaanza kushikana uchawi.
View attachment 3146396Mafuta Lete mengine tafadhali.
Dada kala nguvu za miguu, jamaa anatembea tu uwanjani 😂😂
Mpaka mseme mnapitaga mlango gani Taifa.Ancelotti anaihujumu Madrid, Arteta anaihujumu Arsenal na hadi Guardiola anaihujumu Man City.
Kwani wewe ‘unavyopitiwa’ unasemaga?Mpaka mseme mnapitaga mlango gani Taifa.
Mi nishazoea,Vipi mashono unauma?Kwani wewe ‘unavyopitiwa’ unasemaga?
Mmmmmmm omba nafasi kocha Yanga upange vizuri hizo subAna wachezaji wazuri anashindwa kuwatumia..combination ya Sub zake hajui nani na nani wacheze na nani atoke..
Akihitaji tubadilishane sawa tu mkuu yeye aje kusimamia ununuzi wa magari madogo na makubwa yanayoletwa huko kutokea hapa Johannesburg akifanya kwa usahihi hasa kwa Scania G 460 hizi ntachukua hiyo nafasi..Mmmmmmm omba nafasi kocha Yanga upange vizuri hizo sub
Mtafute mkuu utusaidie kupanga teamAkihitaji tubadilishane sawa tu mkuu yeye aje kusimamia ununuzi wa magari madogo na makubwa yanayoletwa huko kutokea hapa Johannesburg akifanya kwa usahihi hasa kwa Scania G 460 hizi ntachukua hiyo nafasi..