Gamondi anahujumu timu ya Yanga

KUtoka kuwa bikra mpaka mjamzito na malaya kabisa
 
Gamondi hajafika Leo,kachukua ubingwa mara 3 mfululizo,yanga kuba shida ktk uongozi,mwanzoni tulishauli wale WOTE waliomsaidia kupata ubingwa injinia asiwaache,timu ya ushindi huwa haibadilishwi.
Kaishiwa mbinu, patavuja zaidi
 
Mnataka msifungwe nyie kina nani au mganga wenu ndiye aliyewadanganya hivyo?.Nyeeee nyeeee wifuuu.
Issue sio kufungwa ,mwenendo wakocha simzuri hii itatugharimu zaidi
 
KUtoka kuwa bikra mpaka mjamzito na malaya kabisa
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
 
Malaya fc aka mwajuma nipe
 
Malaya fc aka mwajuma nipe
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…