Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kucheza nao hao giants ni kitu Cha kawaida tu,kushinda inabaki ni jambo lingineNimemuona jana kwenye press akisema haogopi timu yoyote anaamini wachezaji wake wanaweza cheza hata na Barcelona au real Madrid.
Kuna mwandishi alitaka kumtisha na majina makubwa ya timu za Africa.
Kifupi Gamondi anasema waleteeee 🔥🔥🔥
Yeye alisema anaweza cheza nao,siyo kushinda dhidi yaoNgoja siku tupigwe za uso haya maneno ndio atajua watu waliya tunza.
Sio sawa kuwa arrogant ingawa saa zingine waandish kibongo wana kera kias kwamba majibu ya shit kama hiv ndio dawa yao
Ulitaka aseme kuwa watagoma kucheza nao?Nimemuona jana kwenye press akisema haogopi timu yoyote anaamini wachezaji wake wanaweza cheza hata na Barcelona au real Madrid.
Kuna mwandishi alitaka kumtisha na majina makubwa ya timu za Africa.
Kifupi Gamondi anasema waleteeee 🔥🔥🔥
AhahahaaUlitaka aseme kuwa watagoma kucheza nao?
Nimemuona jana kwenye press akisema haogopi timu yoyote anaamini wachezaji wake wanaweza cheza hata na Barcelona au real Madrid.
Kuna mwandishi alitaka kumtisha na majina makubwa ya timu za Africa.
Kifupi Gamondi anasema waleteeee
Kabisaa. Na unaweza kupack bus,mkawaacha wakacheza 85%. Lakini mwisho wa siku sale ya bila bila. Hapo utamjua aliefungwaKucheza nao hao giants ni kitu Cha kawaida tu,kushinda inabaki ni jambo lingine
Kabsa,Kabisaa. Na unaweza kupack bus,mkawaacha wakacheza 85%. Lakini mwisho wa siku sale ya bila bila. Hapo utamjua aliefungwa
Talking is cheap. Sisi tuna itunza mvua zikianza kunyesha tutajua wapi panavuja tutaanzia hapo hapo kuwabomoaNimemuona jana kwenye press akisema haogopi timu yoyote anaamini wachezaji wake wanaweza cheza hata na Barcelona au real Madrid.
Kuna mwandishi alitaka kumtisha na majina makubwa ya timu za Africa. Kifupi Gamondi anasema waleteeee 🔥🔥🔥
👍👍👍👍👍Kumbuka yeye ndio mtu wa kwanza kujenga CONFIDENCE ya wachezaji, na kujenga imani ya timu kwa mashabiki wake…!!! Imagine kauli ya mwalimu anaposema “WANAFUNZI WANGU UKIWAPA MTIHANI HAWAWEZI KUFAULU KABISA”, wazazi mtamuelewaje na ada mmeshalipa…!!
Kwahyo Gamondi YUPO SAHIHI KABISA, kwa sababu ni lazima uoneshe POSITIVENESS katika kauli zako na matendo yko
Nimemuona jana kwenye press akisema haogopi timu yoyote anaamini wachezaji wake wanaweza cheza hata na Barcelona au real Madrid.
Kuna mwandishi alitaka kumtisha na majina makubwa ya timu za Africa. Kifupi Gamondi anasema waleteeee
Kuonyesha POSITIVENESS kwenye kauli zako bila kumheshim mpinzani wako.... Kauli sahihi ila sio katika sehemu sahihi.Kumbuka yeye ndio mtu wa kwanza kujenga CONFIDENCE ya wachezaji, na kujenga imani ya timu kwa mashabiki wake…!!! Imagine kauli ya mwalimu anaposema “WANAFUNZI WANGU UKIWAPA MTIHANI HAWAWEZI KUFAULU KABISA”, wazazi mtamuelewaje na ada mmeshalipa…!!
Kwahyo Gamondi YUPO SAHIHI KABISA, kwa sababu ni lazima uoneshe POSITIVENESS katika kauli zako na matendo yko
Preseason.... Kauli sahihi kwenye mazingira sahihi.Robartinho ameshatumia kauli hii akiwa tena juzi tu akiwa pre-season turkey! Kwa mm sioni kama ni tatizo kuyatumia maneno hayo kwa sababu kwa kusema hivyo haimaanishi anaweza kuwafunga madridi au baselona ila anamaaanisha anaweza kucheza na timu yoyote bila kujali matokeo yatakuaje
Preseason.... Kauli sahihi kwenye mazingira sahihi.
hajasema hivyo bro,alikuwa anajibu swali la mwandishi aliyemuuliza gamondi are scared? ndipo akamjibu scared? i am scared by God only not by football,this is footbal,my team can play with any team without being scaredNimemuona jana kwenye press akisema haogopi timu yoyote anaamini wachezaji wake wanaweza cheza hata na Barcelona au real Madrid.
Kuna mwandishi alitaka kumtisha na majina makubwa ya timu za Africa. Kifupi Gamondi anasema waleteeee [emoji91][emoji91][emoji91]