Gamondi anajiamini nini kutamka maneno haya?

Ni kuwajenga ki saikolojia wachezaji Hata Yule kocha wa Morocco alisema hivyo Kwenye world cup
 
Ko akisema robatinho inahalalishwa iwe sahihi akiitumia kocha mwingine mnasema kauli zake zitamponza!…anyway hizi kauli tukizikitafsiriwa kishabiki ndo matokeo yake haya unaanza kuihararisha na kuiharamisha kwa kigezo cha mazingira.
Hutaki endelea kukaza fuvu maana hujaelewa nilicho andika...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu bora umenistua hawa kenge wamepasuliwa na ihefu jana nipo naangalia fixture yao alooo watakandwa na geita gold, azam watapata draw watakandwa na simba kenge hawa
 
Tutaanza usiku
 
Una lolote la kusema baada ya kipigo dhidi ya ihefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…