Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto husababisha watu waamshe ubongo, aliamshe dude tutakabiliana na changamoto, huwezi kuzikimbia changamotoUbaya ubwela,kama mbwai mbwai tu,ukimwaga mbiga namwaga ugali, ndivyo unavyoweza kusema.
Kocha wa dunia Miguel Gamondi ametishia kuitisha press na kusema yale yasiyojulikana.
GSM fanyeni mnaloweza kumzuia huyu asiropoke,nchi inaweza kuzizima.
Hutaki ikazizina tunahitaji kuwapa sababu ya kukesha pale msimbaziUbaya ubwela,kama mbwai mbwai tu,ukimwaga mbiga namwaga ugali, ndivyo unavyoweza kusema.
Kocha wa dunia Miguel Gamondi ametishia kuitisha press na kusema yale yasiyojulikana.
GSM fanyeni mnaloweza kumzuia huyu asiropoke,nchi inaweza kuzizima.
NaamJiesemu ilivyojaa magangster, atajikiuta yupo kwao asijue kafikaje.
kuna kiumbe anajulikana kama scarface, huyo ana genge la maharamia wa kweli sio kama wale vimbaumbau vilivyoshindwa kumbemba Lyimo.
Uko sahihi,atalipia ukumbi ila hataweza kuongeaJiesemu ilivyojaa magangster, atajikuta yupo kwao asijue kafikaje.
kuna kiumbe anajulikana kama scarface, huyo ana genge la maharamia wa kweli sio kama wale vimbaumbau vilivyoshindwa kumbemba Lyimo.
Amuulize Bashite, na ugangwe wake wote aliitoleshwa machozi na Jiesemu.
Utoto raha sanaUbaya ubwela,kama mbwai mbwai tu,ukimwaga mbiga namwaga ugali, ndivyo unavyoweza kusema.
Kocha wa dunia Miguel Gamondi ametishia kuitisha press na kusema yale yasiyojulikana.
GSM fanyeni mnaloweza kumzuia huyu asiropoke,nchi inaweza kuzizima.
kama ni kweli katangaza ukute saa hizi keshapigwa nusukaput, kafungwa kama cargo kwenye container za sailenti bahari. Akiamka yupo kwao huko.Uko sahihi,atalipia ukumbi ila hataweza kuongea
Haya majina ya Scar kuhusishwa na vurugu sijafurahiswa.Jiesemu ilivyojaa magangster, atajikuta yupo kwao asijue kafikaje.
kuna kiumbe anajulikana kama scarface, huyo ana genge la maharamia wa kweli sio kama wale vimbaumbau vilivyoshindwa kumbemba Lyimo.
Amuulize Bashite, na ugangwe wake wote aliitoleshwa machozi na Jiesemu.
Mwambieni asithubutu kwani badala ya kufika Kwao Argentina akiwa mzima anaweza kujikuta anaishia Makaburi ya Kinondoni.Ubaya ubwela,kama mbwai mbwai tu,ukimwaga mbiga namwaga ugali, ndivyo unavyoweza kusema.
Kocha wa dunia Miguel Gamondi ametishia kuitisha press na kusema yale yasiyojulikana.
GSM fanyeni mnaloweza kumzuia huyu asiropoke,nchi inaweza kuzizima.
Upo social na kapuku. Huyo Scarface jangili ana mpunga wa maana.Haya majina ya Scar kuhusishwa na vurugu sijafurahiswa.
Wakati mi nipo social sina mbanga hizo.
Ajira portal bado hawaja update mfumo wao.Source : Popoma Kaniambia.
Mi nilikuwa nazo nikaamua tu nigaweUpo social na kapuku. Huyo Scarface jangili ana mpunga wa maana.
Page inaitwa Ajira Zetu unategemea nini? Ni zakwao kweliAjira portal bado hawaja update mfumo wao.
Nimetoka kuangalia updates za ajira sijaona ya ukocha wakati wote tunajua Jangwani nafasi ipo wazi.
Mambo ya kujuana na kasumba ya connection ndivyo vinapelekea wapatikane hawa makocha ambao wanakuwa fired kiholela.