Gamondi awaita nyota wa kikosi Cha kwanza Zanzibar

T
Ile ni privacy mkuu
Na ikiwa ni privacy imekuwaje wewe utangaze mara mbili kwa kusema

1. Yanga inaongoza kutoa wachezaji wengi wanaowakilisha nchi zao katika kombe la Afrika (uliweka orodha Pacome akiwemo)

2. Leo baada ya kubanwa hapa unasema pacome alikataa alipoitwa kujiunga na timu ya taifa πŸ˜‚πŸ˜‚

Ikiwa hilo jambo ni privacy na huna link yake wewe umelijuaje hadi utangaze hapa kuwa alikataa?

We ungesema tu kuwa alipigwa panga na kocha wa timu ya taifa mbona tungekuelewa tu πŸ˜‚

Dunia hii hakuna privacy kwa jambo kama hilo la Pacome, huyo njemba alitemwa timu ya taifa hata shemeji yako analijua hilo na ndo maana kafunga domo lake.
.
 
Hivi hujawajua Tu. Unapoteza muda wako bure. Hajaitwa kwenye timu ya Taifa. Haiwezi kuwepo hata benchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…