Gamondi hana furaha na Uwanja wa Azam Chamanzi Complex

Gamondi hana furaha na Uwanja wa Azam Chamanzi Complex

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kocha wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi leo katika mkutano na Waandishi wa Habari ametamka wazi kwa mara nyingine kuwa hana furaha na Uwanja wa Azam Chamanzi Complex bali Uwanja pekee anaofurahia ni Benjamini Mkapa.

Ikumbukwe kesho ni mchezo kati ya Yanga dhidi ya Azam katika Uwanja wa Chamanzi Complex huku Yanga akiwa ndiye mwenyeji wa mchezo huo utakaopigwa majira ya saa 12:00 jioni.
Soma, Pia:
 
Mchagua jembe sio mkulima
Mchagua 'K' sio mlaji (K for Kvant)
 
Kocha wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi leo katika mkutano na Waandishi wa Habari ametamka wazi kwa mara nyingine kuwa hana furaha na Uwanja wa Azam Chamanzi Complex bali Uwanja pekee anaofurahia ni Benjamini Mkapa.

Ikumbukwe kesho ni mchezo kati ya Yanga dhidi ya Azam katika Uwanja wa Chamanzi Complex huku Yanga akiwa ndiye mwenyeji wa mchezo huo utakaopigwa majira ya saa 12:00 jioni.
Soma, Pia:
mtego huo...Azam akija wima wima ni dhahama
 
Azam wasitegemee mteremko kisa tu kocha wa Yanga amesema hivyo. Wakumbuke wameshapasuliwa mara nyingi tu na Wananchi kwenye huo uwanja wao.
 
Back
Top Bottom