Gamondi: Kuelekea Mamelod, fitness ya Aucho 80%, Pacome anafuatia, Yao kigugumizi.

Gamondi: Kuelekea Mamelod, fitness ya Aucho 80%, Pacome anafuatia, Yao kigugumizi.

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,449
Gamondi ameliambia Mwanaspoti kuwa Yanga iko tayari kwa mchezo dhidi ya Mamelodi na watawapa sapraizi nyingine baada ya baadhi ya mastaa wake afya zao kutengamaa haswa Aucho na Pacome.

Gamondi alithibitisha kikosi chake kitakuwa na mabadiliko baadhi baada ya viungo wake Aucho na Pacome kuanza mazoezi huku wasiwasi mdogo ukisalia kwa beki wake Yao Attohoula ingawa yuko nae Sauzi.

"Tumeondoka na kikosi kamili ambacho tunaona kipo tayari kwa ajili ya mchezo huo tunawaheshimu Mamelodi lakini kitu kinachotuvutia ni kwamba familia yetu imekamilika sawasawa,'alisema Gamondi ambaye aliwapa kazi ngumu Mamelodi kwenye mchezo wa kwanza.

'Tunaweza kuwa na kikosi chenye mabadiliko ni sisi tutaamua tucheze vipi na tuanze na nani kwani wale waliocheza mechi iliyopita wakd sawasawa lakini pia wale ambao walikuwa na shida ya afya baadhi wamekaa sawasawa

"Aucho (Khalid) yuko kwenye nafasi kubwa ya kucheza kuliko wenzake naweza kusema asilimia themanini, Pacome naye amerejea anafuatia nyuma ya Aucho kuhusu Yao amekuja lakini tutaamua hukohuko cha kufanya,' alisema Gamondi ambaye Wasauzi hao wanamhofia kwani aliwahi kuwa Kocha wao na anawaelewa vizuri nje ndani.

UPDATE ZA LEO
Screenshot_20240404_182049_X.jpg
 
ukinyoa kipara unakua umenyoa akili kumbukumbu zangu zinaniambia waliumia mechi na azam. na inafahamika azam huwa wanakamia na kucheza rafu mbaya. kisha alikua anajua ana mechi muhimu zaidi mbele yake dhidi ya mamelodi. kwanini aliwachezesha hao key players mechi na azam? i stand to be corrected.
 
Gamondi ameliambia Mwanaspoti kuwa Yanga iko tayari kwa mchezo dhidi ya Mamelodi na watawapa sapraizi nyingine baada ya baadhi ya mastaa wake afya zao kutengamaa haswa Aucho na Pacome.

Gamondi alithibitisha kikosi chake kitakuwa na mabadiliko baadhi baada ya viungo wake Aucho na Pacome kuanza mazoezi huku wasiwasi mdogo ukisalia kwa beki wake Yao Attohoula ingawa yuko nae Sauzi.

"Tumeondoka na kikosi kamili ambacho tunaona kipo tayari kwa ajili ya mchezo huo tunawaheshimu Mamelodi lakini kitu kinachotuvutia ni kwamba familia yetu imekamilika sawasawa,'alisema Gamondi ambaye aliwapa kazi ngumu Mamelodi kwenye mchezo wa kwanza.

'Tunaweza kuwa na kikosi chenye mabadiliko ni sisi tutaamua tucheze vipi na tuanze na nani kwani wale waliocheza mechi iliyopita wakd sawasawa lakini pia wale ambao walikuwa na shida ya afya baadhi wamekaa sawasawa

"Aucho (Khalid) yuko kwenye nafasi kubwa ya kucheza kuliko wenzake naweza kusema asilimia themanini, Pacome naye amerejea anafuatia nyuma ya Aucho kuhusu Yao amekuja lakini tutaamua hukohuko cha kufanya,' alisema Gamondi ambaye Wasauzi hao wanamhofia kwani aliwahi kuwa Kocha wao na anawaelewa vizuri nje ndani.
Aucho atacheza


Pacome na Yao hawataweza kucheza amini
 
daaadeki hata kwenye mazoezi ya mwisho leo hawajampost Pacome wala Yao.
 
Aucho atacheza ila Yao na pacome sidhani, Jana nilifatilia mazoezi ya yanga, aucho alikua ana train na wenzake bila shida, pacome akawa ana train nje peke yake wakati Yao hata hakua anafanya mazoezi
 
Ila Gamondi wakati mwingine ni fala sana.......ile mechi na Azam kwanini alishindwa kuwaamini wachezaji wengine?
 
Ila Gamondi wakati mwingine ni fala sana.......ile mechi na Azam kwanini alishindwa kuwaamini wachezaji wengine?
Umemtukana utafikiri mpira unaujua vile. Kwahiyo wewe ulitaka wachezaji wote wa benchi ndio wacheze halafu wa first eleven wote wakae nje si ndio?
Kama ni ndio, hivi umejiuliza kwamba hao wachezaji walishindwa tu kupata matokeo kwa Ihefu na APR ndio utegemee waifunge Azam?
 
Half time
Sundowns 0 : 1 Yanga

Full time
Sundowns 1 : 1 Yanga
 
Umemtukana utafikiri mpira unaujua vile. Kwahiyo wewe ulitaka wachezaji wote wa benchi ndio wacheze halafu wa first eleven wote wakae nje si ndio?
Kama ni ndio, hivi umejiuliza kwamba hao wachezaji walishindwa tu kupata matokeo kwa Ihefu na APR ndio utegemee waifunge Azam?
Fala ww hunijui.....
 
Fala ww hunijui.....
Anayekimbilia matusi cha kwanza elimu ndogo na upeo wake pia ni mdogo hivyo matusi ndio ngao na silaha yake pindi akizidiwa hoja. Hilo tusi ulilotukana sio jipya kusikia. Tukana tusi lingine jipya hilo limezoeleka.
 
Anayekimbilia matusi cha kwanza elimu ndogo na upeo wake pia ni mdogo hivyo matusi ndio ngao na silaha yake pindi akizidiwa hoja. Hilo tusi ulilotukana sio jipya kusikia. Tukana tusi lingine jipya hilo limezoeleka.
Kwani fala ni tusi...?

Wa wapi ww?
 
Back
Top Bottom