Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Hakuna cha ubora wa nini, iweje Bangala na Feitoto waonekane wachezaji wa kawaida tu wakiwa azam wakati walipokuwa Yanga walikuwa mastaa na walikuwa wanaupiga mwingi.
Leo Feitoto na Bangala wanaonekana wazito na hawana mvuto, ilhali Gamondi anaonekana mtaalamu kuliko Nabi.
Huyo huyo Gamondi mpeleke akafundishe JKT Ruvu halafu Kocha wa Ruvu aende Yanga bado Yanga itashinda tu.
Kuna nyota wanatembelea Yanga ambayo haihusiani na masuala ya kiufundi, ndio maana juzi wakati wanacheza na ADT ya Djibouti walisema ni xku ya Max Nzengeli ya kuchomekea, siku ile wajanja tulijua kuwa nyota ya ushindi kapewa yeye, ni rahisi sana kutabiri matukio ya Yanga kutokana na mipango yao nje ya uwanja.
Hakuna cha Gamondi wala nini, ni mipango nje ya uwanja inafanya kazi.
Leo Feitoto na Bangala wanaonekana wazito na hawana mvuto, ilhali Gamondi anaonekana mtaalamu kuliko Nabi.
Huyo huyo Gamondi mpeleke akafundishe JKT Ruvu halafu Kocha wa Ruvu aende Yanga bado Yanga itashinda tu.
Kuna nyota wanatembelea Yanga ambayo haihusiani na masuala ya kiufundi, ndio maana juzi wakati wanacheza na ADT ya Djibouti walisema ni xku ya Max Nzengeli ya kuchomekea, siku ile wajanja tulijua kuwa nyota ya ushindi kapewa yeye, ni rahisi sana kutabiri matukio ya Yanga kutokana na mipango yao nje ya uwanja.
Hakuna cha Gamondi wala nini, ni mipango nje ya uwanja inafanya kazi.