Gamondi, Nabi hawana uwezo ila tunaojua soka la bongo tunajua nguvu za giza zinavyotumika kuwafanya waonekane bora

Gamondi, Nabi hawana uwezo ila tunaojua soka la bongo tunajua nguvu za giza zinavyotumika kuwafanya waonekane bora

Hakuna cha ubora wa nini, iweje Bangala na Feitoto waonekane wachezaji wa kawaida tu wakiwa azam wakati walipokuwa Yanga walikuwa mastaa na walikuwa wanaupiga mwingi.

Leo Feitoto na Bangala wanaonekana wazito na hawana mvuto, ilhali Gamondi anaonekana mtaalamu kuliko Nabi.

Huyo huyo Gamondi mpeleke akafundishe JKT Ruvu halafu Kocha wa Ruvu aende Yanga bado Yanga itashinda tu.

Kuna nyota wanatembelea Yanga ambayo haihusiani na masuala ya kiufundi, ndio maana juzi wakati wanacheza na ADT ya Djibouti walisema ni xku ya Max Nzengeli ya kuchomekea, siku ile wajanja tulijua kuwa nyota ya ushindi kapewa yeye, ni rahisi sana kutabiri matukio ya Yanga kutokana na mipango yao nje ya uwanja.

Hakuna cha Gamondi wala nini, ni mipango nje ya uwanja inafanya kazi.
Huo ni mtazamo wako tu .....ila uhalisia ni kuwa mkubwa ni mkubwa na ana mbinu nyiiingi za kutoboa
 
Hakuna cha ubora wa nini, iweje Bangala na Feitoto waonekane wachezaji wa kawaida tu wakiwa azam wakati walipokuwa Yanga walikuwa mastaa na walikuwa wanaupiga mwingi.

Leo Feitoto na Bangala wanaonekana wazito na hawana mvuto, ilhali Gamondi anaonekana mtaalamu kuliko Nabi.

Huyo huyo Gamondi mpeleke akafundishe JKT Ruvu halafu Kocha wa Ruvu aende Yanga bado Yanga itashinda tu.

Kuna nyota wanatembelea Yanga ambayo haihusiani na masuala ya kiufundi, ndio maana juzi wakati wanacheza na ADT ya Djibouti walisema ni xku ya Max Nzengeli ya kuchomekea, siku ile wajanja tulijua kuwa nyota ya ushindi kapewa yeye, ni rahisi sana kutabiri matukio ya Yanga kutokana na mipango yao nje ya uwanja.

Hakuna cha Gamondi wala nini, ni mipango nje ya uwanja inafanya kazi.
Acha mambo yako mwana kolo/🦁 sitaki kuamini hata kule mwituni kolo 🦁 anatumia nguvu za giza,ila kolo nyie hata uwanjani mnajaribu kutumia nguvu za giza,sana ujue na ujue na uamini wananchi tunaamini katika uwepo,nguvu na uwezo wa Mungu pekee na sio nguvu za giza🤔.
 
Mkuu tunawasubiri klabu bingwa[emoji1787][emoji1787]wakienda hata makundi tu niiteni mbwaa.
Mimi naanza kukuita mbwa, na nitalifukuwa hili kaburi.

Mwenzenu Mhasibu uchwara hana hamu na Yanga.
 
Kwenye football kuna bahati pia. Kuna timu ulaya wa msimu hua wana vikosi vikali sana lkn suala la kubeba ubingwa wa ligi yao na ligi ya mabingwa hua ni suala jingine. Mfano PSG last season walikua na kikosi kikali sana lkn waliishia wapi.

Kwa case ya yanga Afrika naweza kukubali, pale kuna nyota. Ni rahisi mchezaji mbivu kung'ara na kuimbwa lkn mchezaji mzuri aliepo azam asionekani wala kung'ara. Hii haitokani na ushirikina wala nguvu za giza, ni Football magic.
 
Hakuna cha ubora wa nini, iweje Bangala na Feitoto waonekane wachezaji wa kawaida tu wakiwa azam wakati walipokuwa Yanga walikuwa mastaa na walikuwa wanaupiga mwingi.

Leo Feitoto na Bangala wanaonekana wazito na hawana mvuto, ilhali Gamondi anaonekana mtaalamu kuliko Nabi.

Huyo huyo Gamondi mpeleke akafundishe JKT Ruvu halafu Kocha wa Ruvu aende Yanga bado Yanga itashinda tu.

Kuna nyota wanatembelea Yanga ambayo haihusiani na masuala ya kiufundi, ndio maana juzi wakati wanacheza na ADT ya Djibouti walisema ni xku ya Max Nzengeli ya kuchomekea, siku ile wajanja tulijua kuwa nyota ya ushindi kapewa yeye, ni rahisi sana kutabiri matukio ya Yanga kutokana na mipango yao nje ya uwanja.

Hakuna cha Gamondi wala nini, ni mipango nje ya uwanja inafanya kazi.
Ni kweli mkuu hata nabi kipindi anafundisha yanga viongozi walimwambia hii team haishindi kwasababu yake hivyo upunguze mapepe la sivyo tutakula kichwa nabi tokea hapo akaanza mipango ya kuondoka na viongozi wenzake wote waliokuwepo yanga ndio maana hakuna aliyebaki kama management inawaita inawaambia team haishindi kwasababu yenu hapo inakuwa haupo huru na confidence inashuka jamaa wakaamua wasepe.
 
Hakuna cha ubora wa nini, iweje Bangala na Feitoto waonekane wachezaji wa kawaida tu wakiwa azam wakati walipokuwa Yanga walikuwa mastaa na walikuwa wanaupiga mwingi.

Leo Feitoto na Bangala wanaonekana wazito na hawana mvuto, ilhali Gamondi anaonekana mtaalamu kuliko Nabi.

Huyo huyo Gamondi mpeleke akafundishe JKT Ruvu halafu Kocha wa Ruvu aende Yanga bado Yanga itashinda tu.

Kuna nyota wanatembelea Yanga ambayo haihusiani na masuala ya kiufundi, ndio maana juzi wakati wanacheza na ADT ya Djibouti walisema ni xku ya Max Nzengeli ya kuchomekea, siku ile wajanja tulijua kuwa nyota ya ushindi kapewa yeye, ni rahisi sana kutabiri matukio ya Yanga kutokana na mipango yao nje ya uwanja.

Hakuna cha Gamondi wala nini, ni mipango nje ya uwanja inafanya kazi.
Sasa umekuwa mwehu kamili.
 
Hakuna cha ubora wa nini, iweje Bangala na Feitoto waonekane wachezaji wa kawaida tu wakiwa azam wakati walipokuwa Yanga walikuwa mastaa na walikuwa wanaupiga mwingi.

Leo Feitoto na Bangala wanaonekana wazito na hawana mvuto, ilhali Gamondi anaonekana mtaalamu kuliko Nabi.

Huyo huyo Gamondi mpeleke akafundishe JKT Ruvu halafu Kocha wa Ruvu aende Yanga bado Yanga itashinda tu.

Kuna nyota wanatembelea Yanga ambayo haihusiani na masuala ya kiufundi, ndio maana juzi wakati wanacheza na ADT ya Djibouti walisema ni xku ya Max Nzengeli ya kuchomekea, siku ile wajanja tulijua kuwa nyota ya ushindi kapewa yeye, ni rahisi sana kutabiri matukio ya Yanga kutokana na mipango yao nje ya uwanja.

Hakuna cha Gamondi wala nini, ni mipango nje ya uwanja inafanya kazi.
🤣🤣
 
Back
Top Bottom