Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subili wana kuja
Mkuu nimeona watu wengi hapa bongo wamezikata, lakini nikavutiwa design moja toka you tube, nakifikiri nikipata garage nzuri wanishauri kitaalam.Utaharibu gari mkuu. Hakuna mzungu mshenzi kiasi hicho kusingekuwa na Pickup.
Siyo kwamba unachotaka kufanya hakiwezekani hapana. Ila gari itaharibika hata mwaka hautaisha utapack trust me.
Kakatie kiwandani mkuuMkuu nimeona watu wengi hapa bongo wamezikata, lakini nikavutiwa design moja toka you tube, nakifikiri nikipata garage nzuri wanishauri kitaalam.
Utaharibu gari mkuu. Hakuna mzungu mshenzi kiasi hicho kusingekuwa na Pickup.
Siyo kwamba unachotaka kufanya hakiwezekani hapana. Ila gari itaharibika hata mwaka hautaisha utapack trust me.
Unafaham kampuni ya china security??. Ambao wanalinda vituo vya mwendo kasi?? Ofisi yao ilipo ndio humo humo kuna hao mafundi?? Machalii wa arusha..au nyuma ya mwana mboka..au kama huto jari ni PM nikutumie namba zaoNipo Dar mkuu, ipo upande upi kama unatokea shekilango, wazungu wanasema asante.
Nimefanya hivyo mkuu.Unafaham kampuni ya china security??. Ambao wanalinda vituo vya mwendo kasi?? Ofisi yao ilipo ndio humo humo kuna hao mafundi?? Machalii wa arusha..au nyuma ya mwana mboka..au kama huto jari ni PM nikutumie namba zao
Jamaa alikuelekeza ukaenda? Body waliikata vizuri. Unajuta?Nimefanya hivyo mkuu.