Garama na matumizi ya ovyo kwa kina dada

kuna kipindi nilitaka niachane nae ila sikupata sababu mbadala ya kumwacha zaid ya cash, nisipo mpa anakosa raha siku nzma.... Ila kitaeleweka tu

usimuache aisee, hiyo tabia inarekebishika.
Bora huyo mpenda pesa kuliko angekuwa mzinzi.
Nenda nae taratibu ataelewa tu.
Chukulia hiyo ni sehemu ya mapungufu yake. Au umesahau kuwa binadamu hatujakamilika.
 
usimuache aisee, hiyo tabia inarekebishika.
Bora huyo mpenda pesa kuliko angekuwa mzinzi.
Nenda nae taratibu ataelewa tu.
Chukulia hiyo ni sehemu ya mapungufu yake. Au umesahau kuwa binadamu hatujakamilika.

hilo nimelikubali kwa uelewa wangu siyo mzizi na nimejaribu kufanya mitego zaidi ya kumi kama anachukua pesa kwa mwanaume mwingine au lah nikagundua anataka zangu tu. nisipo mpa hatafuti kwingine ila ndio hivyo anakosa raha, kwa hizi siku mbili nimeanza kumpa somo anelekea kunielewa!
 
ni mzuri sana kila kitu anafanya sawa na ni mkarimu wa hali ya juu kwangu hata kwa ndugu na jamaa wengine, knye mechi nimepita sehemu nyingi sana ila mechi yake ni yakiwango cha juu sana ila tatizo ndio hapo knye cash na matumizi tu pananikera

Mfundishe money management, anatakiwa ajue kipato chako na asijilinganishe na watu aishi kwa kadri ya hali yako ilivyo, hata kama hela zipo asifanye matumizi yasiyo ya lazima siyo lazima aende saloon ya 50,000/= kwa wiki anaweza akaenda za uswahilini kwetu za 5000. na hiyo biashara usikubali ife kama kweli una future naye
 
Si wote wanatekeleza hivyo, japo miluzi huwa mingi lakini si mbwa wote hupotea njia.....maisha ni mpangilio, wahofia nini wakati hawara hana talaka?ukitaka utampata................
 

navyoandika hapa jana nimempa somo sana ingawa lilikuwa chungu lakini kaana kinielewa sitegemei tena kama atarudia kunifilisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…