Gardner adaiwa kumpandisha Jide kortini

Najua kuwa vyeti vintoka serikalini alakini ndoa ya kidini utavunjwa hukohuko nenda mahakamani cha kwanza utaambiwa uende kwa viongozi wako wa dini

 
Hii inataka kufanana na ya Frola na Mbasha. Haki idaiwe! Men emancipation!
 
Kwa nini asidai mgawanyo wa mali ilimradi aliishi nae na wakachuma pamoja? Msijifanye kuwa anachokifanya nyie hamtakifanya tena nyie ndio mngehakimisha hapati hata mia bora yeye anayeomba mgawanyo wa mali kwa haki na ndoa iwe annulled ili awe huru kila mtu afanye ya kwake. Yule kikongwe asepe atafute kiserengeti kingine if at all Gardner alikuwa serengeti kama mnavyosema.
 
do it gadner,maneno ya watu yasiurudishe nyuma,the truth ni wamba gadne una mchango mkubwa sana kweny mafanikio ya jidei even darely to say kwamba bila wewe jide asingefika hapo alipo
 
do it gadner,maneno ya watu yasiurudishe nyuma,the truth ni wamba gadne una mchango mkubwa sana kweny mafanikio ya jidei even darely to say kwamba bila wewe jide asingefika hapo alipo
Si ndio hapo, yani wanawake wanavyopenda vya bure, mwanaume ameishi nawe miaka karibu kumi, unataka kusema hana mchango wowote? Basi wale wanawake magolikipa wangekuwa hawapewi mgawanyo. Yani upoteze miaka yote ushazeeka na kizee kile halafu uondoke bila mgawanyo then how will you start over? What about haki yako? Kina Tiger Woods wenyewe wakidai talaka wanagawana mali na wake zao sembuse wewe mtanzania masikini wa mwisho duniani mpaka mbinguni?
 

mkuu jamii za kiafrika zina mtatizo sanawanawake wanapenda kuona wao tu ndo wanahaki katka ndoayani mwanamke akishakua na kipato kilichomzidi mwanaume kidogo basi ni shiiiida,hebu tubadilike jamani wanaume nao wana haki hata kama ni golikipa ebooo
 
si tunalilia haki sawa ndio fifty fity hiyo...... mali tunagawana
Garder na (ukitombi) wake ila ana part aliyoplay kwenye mafanikio ya Jide

Teh teh alikufikishia hiyo huduma nn mbona umeongea kwa herufi kubwa hivyo
 
 
Gardner hakutegemea mke wote walitegemeana....kama mke na mme yamefika mwisho kieleweke akapate mtoto wa ukubwani....tena.....😡
 
bora hata jdee amezaliwa ili wanaume waelewe jinsi ukikaa na mtu kisa kakuzidi kipato akikuacha bila mali inauma. wanawake huwa wanapewa maana wanafanya kazi za ndani. gardner naye vipi haaaaa nimeipenda hiii
 
bora hata jdee amezaliwa ili wanaume waelewe jinsi ukikaa na mtu kisa kakuzidi kipato akikuacha bila mali inauma. wanawake huwa wanapewa maana wanafanya kazi za ndani. gardner naye vipi haaaaa nimeipenda hiii

Kazi za ndani ni kudinyana naamini hiyo gadner kafanya kufagia kupika ni beki 3
 
Kuna watu mmeongea kwa hisia sijui ni mamariooo 😈😈😈😈😈😈?????siku zenu na nyie zinakuja???? ^hahaaaa
 

Mastaa wa bongo bhana utawapenda tu
 
Mwanamme hapewi talaka katika Kiswahili.

Mwanamme anatoa talaka.

Huyo Gardner alioa au aliolewa?
 
Mwanamme hapewi talaka katika Kiswahili.

Mwanamme anatoa talaka.

Huyo Gardner alioa au aliolewa?

Katika kiswahili na kisheria mwanaume anaomba mahakama ivunje ndoa yao na ndipo kesi uanza na mahakama ikijiridhisha kwa vigezo vyake inatamka kuivunja rasmi ndoa husika na kutoa divorce decree.
 
Nimeipenda sana hii comment yako ingawa sheria siijui vizur lkn kama nimeelewa unamaanisha ni vzur kusainishana mali zako ulizokua nazo kabla ya ndoa hazitahusika kwenye mgao siku ndoa ikibuma?? Pls nijuze
kugawana mali ni ktu cha kawaida ndo ndoa izi za kibongo tunakataa kusainishana pre nap madhara ndo aya!!! human being always refuses to be realistic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…